Hahaha...ubuyu mtamu aisee.Na wale wanaume wanaokula ubuyu jeee mwanaume mzima unamung'unya ubuyu
Kipi cha kipuuzi nilichoandk, au mihemko ya kike ndio inayokuendesha…!!na wewe umo kwenye lile kundi lenu pendwa maana sijaona utofauti na hao wanaokuandikia 'maambo' umeandika upuuzi ule ule usioupenda
xamahani dadaMwanaume akinitext mambo au hi simjibu na akinambie good night aghh au badala ya s anaweka x
Jiwe gizani[emoji12]Am living my own life, live your own life.
Basy karibu apa tu unge jahazi LA kula ubuyu..... Lkn mwanaume kabisaa midomo inakua myekundu kwa kula ubuyu duuhHahaha...ubuyu mtamu aisee.
Mimi natafuna na mbengu zake kabisa.
But mara nyingi nikimkuta mtu anakula basi na mimi naunga jahazi!
Basy karibu apa tu unge jahazi LA kula ubuyu..... Lkn mwanaume kabisaa midomo inakua myekundu kwa kula ubuyu duuhHahaha...ubuyu mtamu aisee.
Mimi natafuna na mbengu zake kabisa.
But mara nyingi nikimkuta mtu anakula basi na mimi naunga jahazi!
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.
Mwanaume upo room kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]
Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]
Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.
Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.
Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.
Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..
Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]
Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..
Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]
Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.
Nakula kidogo tu. Punje mbili tatu then basi. Sio hadi ulimi unabadilika rangi.Basy karibu apa tu unge jahazi LA kula ubuyu..... Lkn mwanaume kabisaa midomo inakua myekundu kwa kula ubuyu duuh
Ila asante Qurie.....nakuja! [emoji4][emoji39]Basy karibu apa tu unge jahazi LA kula ubuyu..... Lkn mwanaume kabisaa midomo inakua myekundu kwa kula ubuyu duuh
Leo umepatikana![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ule wa cloudzNa wale wanaume wanaokula ubuyu jeee mwanaume mzima unamung'unya ubuyu
Acha ujinga wwMwanaume unajiit sweet kama wale chalii wa arusha wanajiita sweet Mangi