brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Umeiba mada yangu
Unaoga mara ngapi binti?Hata kama matamu mumy huo ni ufujaji sasa.
Mara tatu kwa sikuUnaoga mara ngapi binti?
Hao michicha miba ,wanaume tunaosimamisha dhakari zetu hatulagi ubuyuNa wale wanaume wanaokula ubuyu jeee mwanaume mzima unamung'unya ubuyu
Siku za mapumziko vipi hauogagi?Mara tatu kwa siku
Nikitaka kwenda kazini, nikirudi kazini na nikitaka kulala
Hahahaaa! Huwa siogi aiseee. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Siku za mapumziko vipi hauogagi?
Leo umepatikana![emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaa! Huwa siogi aiseee. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Haipendezi hata kidogoHahahaaa! Huwa siogi aiseee. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
hawa hua wanakua na vinasaba vya ukhanithi kwa mbaaali.Mwanaume akinitext mambo au hi simjibu na akinambie good night aghh au badala ya s anaweka x
na wewe inabidi uchenjiwe, 'dadeq' ndio nini sasa??kuna jitu siku moja nililichenjia kwa ajili ya huu ujinga dadeq
Mpuuzi sana huyoLeo umepatikana![emoji23] [emoji23] [emoji23]
na wewe umo kwenye lile kundi lenu pendwa maana sijaona utofauti na hao wanaokuandikia 'maambo' umeandika upuuzi ule ule usioupendaKwenye X badala ya S hapo kwakwel nakuung mkono, pia mwanaum unakut anakutumia text et "mambo" daaah, huo ni ushamba sana yani, au mnakutana anakusalimia "mambo" ,, mimi kuna jamaa mmoja alkua kanipa kazi sas ile nmkutan nae aend kunionesha kazi yenyew et ananisalimia "mambo" nikamwambia huwa sijibu hiyo salamu akaniuliza kwann nkamwambia basi tuu,, siwezi kukujibu labda ubadili salamu…!!
Mwanaume wakweli ni kujiheshimu na kuwa msafi siyo kutia mimba hovyo, kutokuwa na mtoto hakupunguzi uanaume ndugu, badilikaBadilisha hiyo 'Q' kwenye dadeq yako uweke 'ki' tofauti na hapo huna tofauti kubwa sana na hao unaowananga. Mwanaume huandika kila neno kwa herufi yake stahiki na kuhusu kuoga hata mara mia ni unadhifu na maamuzi tu. Uanaume si uchafu mkuu.
Mwanaume wa kweli hatii mimba ovyo ili kudhihirisha urijali wake, huo ni upunguani.
Yaliyobaki kati ya uliyoandika ni kweli kabisa....
Umeonaee. Kanipata kwa kweli mana hata nimekosa jibu.Leo umepatikana![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haipendezi hata kidogo
Wanawake mnakuwa na harufu zenu kali sana ,sasa na wewe ulivyo mchafu kuoga sielewi huyo jamaa unaeishi naye inakuaje
Mimi nisingekuvumilia ningekuwa nakutandika makofi kila siku mpaka ungebadilika mwenyeww na ukawa unaoga bila kushurutishwa.
Na wewe umenikera tayari. Kama ni mwanaume basi na wewe huna tofauti kabisa na uliyemchenjia. Kwanini humalizii maneno?Kwenye X badala ya S hapo kwakwel nakuung mkono, pia mwanaum unakut anakutumia text et "mambo" daaah, huo ni ushamba sana yani, au mnakutana anakusalimia "mambo" ,, mimi kuna jamaa mmoja alkua kanipa kazi sas ile nmkutan nae aend kunionesha kazi yenyew et ananisalimia "mambo" nikamwambia huwa sijibu hiyo salamu akaniuliza kwann nkamwambia basi tuu,, siwezi kukujibu labda ubadili salamu…!!