Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,116
- 6,874
daaah!!Na wale wanaume wanaokula ubuyu jeee mwanaume mzima unamung'unya ubuyu
Sent using Jamii Forums mobile app
daaah!!Na wale wanaume wanaokula ubuyu jeee mwanaume mzima unamung'unya ubuyu
[emoji24][emoji24][emoji24]Kuna wale wengine mwanaume lakini akisimama kashika kiuno. Huwa nachukiaa
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama hujawahi kupiga puchu umevuka stage ya ukuaji
Mwanaume wa Dar![emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]me nkajua cku iz haupo online, kumbe upoMwanaume wa Dar![emoji28][emoji28][emoji28] View attachment 1034323
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]me nkajua cku iz haupo online, kumbe upo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa makini kupitia utagundua mwandiko huu ni wa meanaumeAlaf hilo neno DADEQ linaongewa sana na wanaume uliowasema.. Mwanaume watofauti. Na hao hawaongeagi hayo maneno
Hapo kwenye kupiga nyeto ni very sensitive kwa hali ya maisha na magonjwa kwa vile ndo chuo cha mafunzo kisicho na ada wala mzunguko mkubwa waacheni tu wengine hawajahitimu bado.Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.
Mwanaume upo chumbani kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na kwanini usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]
Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]
Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.
Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.
Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.
Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..
Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]
Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..
Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]
Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.
Punyeto duu huu mchezo ni hatari sana, tarabu huwa nasikiliza hasa za mzee yusuphu,Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.
Mwanaume upo chumbani kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na kwanini usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]
Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]
Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.
Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.
Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.
Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..
Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]
Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..
Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]
Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.