Mwanaume kama una tabia hizi, badilika

Mwanaume kama una tabia hizi, badilika

afu mwanaume kuwa na id ya kike huo ni ugese...nenda lami upate basha
 
[emoji15][emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume wa Dar![emoji28][emoji28][emoji28]
Screenshot_20190228-085101_1.jpeg
 
Mwanaume lazma uwe mdau wa CHAPUTA hta kma una mademu 100 chaputa mhm


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.

Mwanaume upo chumbani kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na kwanini usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]

Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]

Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.

Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.

Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.

Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..

Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]

Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..

Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]

Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.
Hapo kwenye kupiga nyeto ni very sensitive kwa hali ya maisha na magonjwa kwa vile ndo chuo cha mafunzo kisicho na ada wala mzunguko mkubwa waacheni tu wengine hawajahitimu bado.
 
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.

Mwanaume upo chumbani kwako eti unasikiliza nyimbo za taarabu siku nzima, woii acha ujinga na kwanini usiende Mombasa. utatuletea aibu. [emoji13]

Mwanaume mzima eti huna hata aibu unamtext rafiki yako wakiume unamuita My.. Khaaa.. ivi we unakili zote kweli.. [emoji23]

Mwanaume eti hadi umri huo hujawahi kusingiziwa hata mimba na hauna mtoto, Mi nakwambia we bado hujawa mwanaume.

Eti mwanaume unakuta unamfukuzia dem miezi 6 na hujawahi kumleta geto japo hata kukutembelea tu, Kudadeq badilika coz huo sio uanaume.

Mwanaume unakula chips kila siku bila aibu; haya we endelea tu sisi tupo na tutatoa msaada pale ambapo dem wako atatushobokea kisa haumridhishi.

Mwanaume upo kwenu na una miaka 28, yaani wewe ni mgonjwa kabisa. kaka ugua pole..

Mwanaume hujawahi kumtoa dem wako Out hata siku moja kisa ubahili, shauri yako sisi tupo tutamtoa tu.. na usilalamike [emoji13][emoji13]

Mwanaume ukipigiwa simu na dem eti unalegeza sauti sasa sijui ili iweje; Acha ujinga mwanaume ni sauti bana. koromoa kama trekta linapanda mlima acha ubwege unajishushia CV..

Mwanaume unapiga punyeto wakati Tanzania ina wasichana zaidi ya milioni 20. Hakika wewe ni mpumbavu hata ukinichukia ndo nishasema .. [emoji39]

Jamani uanaume sio mchezo uanaume ni kazi.
Punyeto duu huu mchezo ni hatari sana, tarabu huwa nasikiliza hasa za mzee yusuphu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom