Love Nuru
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 744
- 1,172
Hii ndo idea iliyochangia hadi sada mimi kuwa masikini wa kutupwa. Baada ya kutoka ng'ambo (Ethiopia mjini Tigris) nilikoishi miaka miwili chini ya mwamvuli wa TANGO badala ya kuwa baba mwenye nyumba nikawa baba mwenye gari. Saizi najuta kigari chenyewe niliishakiuza kwa hasara naangaiko na mama mwenye nyunga kwa kodi.