platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
hahaaaahaaa!!
Fanya binamu uwe bimdogo
Acha uchokozi Gen babe
hahaaaahaaa!!
Fanya binamu uwe bimdogo
namuachia mm natafuta zanguNenda mahakamani...... pata haki yako uitumie kwa watoto. Usirudi nyumbani kwenu hiyo era imepita, ukitoka hapo unaanza na kupanga nyumba maisha yanaendelea.
Never look back
Hapana....labda tu unamuonea huruma kama ambavyo utamuonea huruma akishafulia akarudi kwako mikono nyuma kichwa chini.namuachia mm natafuta zangu
na hata mzazi wangu alinambia muachie pambana Lea wanao!
nikidai Mali atakua chizi yulee kashafulia hana kitu!gari kila siku gereji !
utaambiwa umekimbia nyumba wabongo si unajua mambo yao!!Goes both ways, doesn't it?
Hata mwanamke akiona hapendwi anaweza kumwacha mwanamme pia.
Siyo mpaka yeye aachwe tu.
utaambiwa umekimbia nyumba wabongo si unajua mambo yao!!
kuna mtu aliniambia we nae unaacha Mali zote hzoo!!looh!komaa wew!!
hhaahaaaaa!kurudi hapana aiseeehh...!!.ningemkosea sawa Ila uzuri anakiri mpk kwa ndugu zake kua sikumkosea Ila aliamua tu!!Hapana....labda tu unamuonea huruma kama ambavyo utamuonea huruma akishafulia akarudi kwako mikono nyuma kichwa chini.
All in all the decision is your, all the best
hhaahaaaaa!kurudi hapana aiseeehh...!!.ningemkosea sawa Ila uzuri anakiri mpk kwa ndugu zake kua sikumkosea Ila aliamua tu!!
Hvyo vya hapo ni vidogo sana yaani naweza tunga kitabu!
udhaifu wangu mkubwa wivu!!
aiseeehh!nna wivu mno
mwingine short temper!ukiniudhi ntaongea siwezi kukaa kimya!
Sasa afe mara mbili? Ukimwi wenyewe tayari kifo; hiyo kuua si ni kumrahisishia kifo badala ya kuugua ugua? HahahahaDada angu alimuambia mmewe ukinipa ukimwi nakuua!!
udhaifu wangu mkubwa wivu!!
aiseeehh!nna wivu mno
mwingine short temper!ukiniudhi ntaongea siwezi kukaa kimya!
POLE SANA USIRUDI TENA BORA UANZE ZIRONdo ambacho mie sikitaki hichoo!Mtu amekutelekeza umehangaika weee na watoto!anakula gud time ameishiwa anajifanya kurudisha mahaba
wanaume wakiwa na hela sijui wanakua na ibilisi gani!!
Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
UKISHAKUNYA KINYESI UMEKUNYA HUWEZI KULA TENA KINYESIthanx ukidondoka unavuta vumbi!unachapa mwendo
yes!good person alikua anantia jeuri sana ya kipesa kipindi naanza kazi!alikua anajua kuhandle my anger before hajaanza michepuko nimekula good time sana tuu!Unaweza kuelezea mazuri ya Mume wako?
?? geniveros
MTALAKA HATONGOZWI?yes!good person alikua anantia jeuri sana ya kipesa kipindi naanza kazi!alikua anajua kuhandle my anger before hajaanza michepuko nimekula good time sana tuu!
Familia yake inanipenda sana tena sana!!
Ana wivu balaa mpk kivuli changu anakionea wivu!
I don't regret to have kids with him,or having rltn with him kwa kweli!
Binadamu hakuna mkamilifu kila mtu ana mabaya yake!
Sijutii kuolewa,sijutii kuachana pia!
Na sitamsema vibaya kwa watoto Ila kurudi kwake hapana!!!!