Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Yeah I know binamu, and trust me kwa umri wangu nimeona makubwa mno. Ila namshukuru Mungu yote hayo hayajanikatisha tamaa, I still believe ndoa ni kitu chema sana. Sema tu I'm surprised, sikudhani kama umepitia yote hayo, na ulivyo wife material khaausishangae bado heshima ya ndoa na thamani yake iko pale pale!
wapo wanaosurvive pia!