Mwanaume acha mke ukiwa humpendi

Mwanaume acha mke ukiwa humpendi

Utafanyaje sasa ndo kifo mpk kiwatenganisha na wanawake tunafia watoto yani ukiwaza watoto unarudi bila kupenda

Ila mi hapana kwa kweli its over sirudi nyuma katuu!!
Hapana aisee ni kujiendekeza.

Kwani alivyokumbia watoto si mke umesurvive nao??????

Alipokula raha apeleke na shida aisee
 
Utafanyaje sasa ndo kifo mpk kiwatenganisha na wanawake tunafia watoto yani ukiwaza watoto unarudi bila kupenda

Ila mi hapana kwa kweli its over sirudi nyuma katuu!!
Financial independence ni ya muhimu sana kwa wanawake. Mtu anawaza "naanzia wapi na hawa watoto", ndo mtu anabaki tu kwenye toxic relationship. Kisa cha kufa wanangu wanikose akhuuu
 
kweli binaa unazimiwa kabisa au ukimpigia kumpa feedback za clinic anakua mpoleee mpk umuambie majibu halafu anaanza kusema kijiweni'sina ngoma mana wife hana ngoma'
Kumbe yeye binafsi hajapima. BTW clinic hamtakiwi kwenda kupima wote as a couple?
 
Ina maana nyie wanaune ninperfect humo kwenye ndoa?????
Mbona wenzenu wanavumilia? Na kuyakubali mapungufu yenu???
unavumilia mwisho wa siku unachoka mke habadiliki kila siku afadhaliya jana sasa unadhani nitachukua hatua gani. punguzeni kiburi kwa waume zenu.
 
Aah binamu, mwanamke mshirikina ni wa kumkimbia kabisa. Mtu kulala na mganga sijui makaburini haoni tabu. Yeye si anajua limbwata lina-expire, ana renew tu mbona. Itokee siku umeangukia kwa Mungu, ndo itakuwa salama yako. Hata by the time ndoa imeisha, anakuwa ashakuharibia maisha yako sana
Binamu mi nishafuatwa na mtu nkaambiwa kua kuna mwanamke alimfata ampeleke kwa mganga mzurii ili ahakikishe mi naachika maana kila akiroga harogeki!!na mwanaume alikua nae wameachana ghafla!
So anataka kumkomesha afilisikee,mi niachike!
Yule Dada alinifata akaniambia yote nilichoka Mimi jamani!
 
Kumbe yeye binafsi hajapima. BTW clinic hamtakiwi kwenda kupima wote as a couple?
siku hizi wameanzisha hvyoo Ila wanaume wanakataa so unaenda serikali ya mtaa unapewa barua au private wao hawaulizi
 
Hahahaa

Mwanaume wa hivyo inamtiririsha vibaya mno asilete ujinga hapa

Sema wanawake nao sometimes hawajitambui....jitu limekutelekeza miaka.......linarudi unalipokea yelewiiiiiii

Yaani ukiondoka usithubutu kurudi......kama shida kujua hali za wanao nitakupa namba zao za simu...au landline ya familia...

Nani anataka inzi....
Yeleuwiiiii aisee ni ujinga
 
Aaaah wee, huo mchepuko ulikifuata nyumbani kwako, ukafunua hotpot ukakuwekea limbwata? Si umeufuata mwenyewe huko nje? Tukiwaambia tulieni na wake zenu, mnadai ooh sisi kuwa na wanawake wengi ni asili yetu. Me kalichume tu janga huko nje, utalila na kulitafuna peke ako. Na wengine hakuna cha limbwata wala nini, ulimbukeni wao tu

Hata kama ilitokea sababu yoyote mkajikuta kwenye ndoa bila kutegemea, basi ikubali tu hiyo ndoa yako iboreshe, itunze na utaifurahia, otherwise usimuoe mtu kama unajua utampa tu mateso. Na wengine wanaoa kwa mapenzi yao, ila baadaye ndo utasikia "wewe sio hadhi yangu", nenda kwa wenye hadhi yako basi, ila omba usije ukarudi kwangu tu. Afu mwingine kisa hampendi tena mke, ndo na watoto hawajali tena, inahusu nini
Hawajielewi hawa viumbe
 
Hapa umechoma kumoyo, na hii ipo kwa wanandoa wengi sana. Mtu anahangaika weee, siku akiukwaa hasemi, anaanza dozi kimya kimya. Wewe mwenzangu na mimi hadi uje ushtuke uwiii. Watu wengine wauaji khaa
Dada angu alimuambia mmewe ukinipa ukimwi nakuua!!
 
ukiniacha ukiwa na akili zako timamu kisa sio type yako uhakikishe hunipendi kweli maana ukiondoka sikupokei asilani " nimebadilika nini sasa wanifwatafwata nini" in Ray C's voice
just like me!sijali single mom au watu watasema ukiniacha usitegemee nkusamehe hata kama nna watoto sitaa
we jipendekeze tu!!
Nimebakiza kisa kimoja nimuache shemeji yako.

Kama hawezi kuwa serious anategemea mimi nitaweza?

Usilazimishe kupanda mlima mkali na gia namba 5.
kafanyaje tena shemelaa?!!
 
just like me!sijali single mom au watu watasema ukiniacha usitegemee nkusamehe hata kama nna watoto sitaa
we jipendekeze tu!!

kafanyaje tena shemelaa?!!

nakusamehe lakini sio kimapenzi single mom?? ukiwa na furaha yatosha huwezi kukosa wako mtayeendana
 
unavumilia mwisho wa siku unachoka mke habadiliki kila siku afadhaliya jana sasa unadhani nitachukua hatua gani. punguzeni kiburi kwa waume zenu.
Kama unaoana kunanjambo haachi kulifanya si ndio ujue hayo ni mapungufu yake na uyachukulie kama yalivyo?

Mapunguvu hayavumiliwi ila unayaaccept........
 
Binamu mi nishafuatwa na mtu nkaambiwa kua kuna mwanamke alimfata ampeleke kwa mganga mzurii ili ahakikishe mi naachika maana kila akiroga harogeki!!na mwanaume alikua nae wameachana ghafla!
So anataka kumkomesha afilisikee,mi niachike!
Yule Dada alinifata akaniambia yote nilichoka Mimi jamani!
Sala ndio nguzo yako.
 
Financial independence ni ya muhimu sana kwa wanawake. Mtu anawaza "naanzia wapi na hawa watoto", ndo mtu anabaki tu kwenye toxic relationship. Kisa cha kufa wanangu wanikose akhuuu
mwingine ana kazi na kila kitu sema anakufa na tai shingoni!!
wanafia watoto!
Hapana aisee ni kujiendekeza.

Kwani alivyokumbia watoto si mke umesurvive nao??????

Alipokula raha apeleke na shida aisee
wanawake hupitia kipindi kigumu sana pindi mume anapobadilika mpk unafikia unaondoka kwenye nyumba!!basi hakuna wa kukulaumu maana yote hayo anayoyafanya mwanaum bado ukiondoka mwanamke unalaumiwa!!
 
Back
Top Bottom