Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
- Thread starter
- #141
nilimuacha na pesa zakee!!tena yuko kwenye peak pesa sio furaha ya moyo!MTALAKA HATONGOZWI?
AKIPATA HELA TENA HUTARUDI?
kama kula good time nimeshakula sana tu!
na wadada wengi pesa zinatuua mwanaume akijua hvyo basi atakunyanyasa maana huwezi kubali kuacha luxuries wakati anakunyanyapaa mi hapana kwa kweli
Baba yangu alinifunza kuheshimu utu kabla ya kitu kwanza!