MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Tutajie hizo nchi! Vinginevyo wewe utakuwa MUONGO!
Mkuu huwa sina haja ya kudanganya wala sema uongo. It doesn't pay than kukushushia heshma na credibility. Huku ni USA. Sasa hivi huku hata kumlazimisha mtoto wako deen yako ni child abuse, sembuse cdm, tena nguo ya winter wakati wa summer, utatupwa lupango. God bless America. Kilicho bakia ni kukana uraia wa huku na kuamia kule. Sasa sijui kule ni wapi, maana si huko.