Unaota wewe!!!
rudi kijijini bana!! umelala upo kwenye ndoto!
hata ccm wakijisaidia hadharani
basi na nyinyi mna haki ya kufanya hivyo?????
wewe ndo pumbavu kubwa kabisa
ni wapi nimesema chipukizi wa ccm ni sawa????????
au wapi nilipokuambia mimi ni mwana ccm???????
two wrongs do not make it right
pumbavu wewe
CCM haikuwa hivyo na CDM haikuwa hivyo na haitakuwa hivyo milele. Tuwaache watoto wawe watoto though the issue is debatable. Kule west wao wanatumia saana group za youth lakini kwetu ni too much watoto ndio wanaotumika. Inasikitisha saana.. Kama ni muelewa na unargue kwa kutumia akili. Soma hii article hapa.kawaambie ccm waache kwanza!
kama nina amini kuwa ccm ni chama dhalimu, nitawafundisha hata vitukuu vyangu kuwa ccm ni dhalimu na haifai, na kama naamini cdm ni safi, i will tell my people kwa maneno, kwa vitendo na kutimiza wajibu kuwa hapa ndipo.
jinyonge kama vipi!
yaani agenda kubwa
ya wapumbavu wa chadema ni ccm tu basi
kazi yao ni kusubiri ccm wafanye hivi na kupinga au kuiga
basi ,ni upumbavu ulioje
hamuwezi nyinyi to set the standard????????????????????
Myopic!!!
halafu rudi kijijini na wewe pia.
mnaogopa nini?
Unargue kitoto kweli yaani kwakuwa CCM wanafanya basi kila mtu afanywe. Kweli uwezo wako ni zero. Waambie watu wote, watoto waache wafurahie maisha yao ya utoto.kawaambie ccm waache kwanza!
kama nina amini kuwa ccm ni chama dhalimu, nitawafundisha hata vitukuu vyangu kuwa ccm ni dhalimu na haifai, na kama naamini cdm ni safi, i will tell my people kwa maneno, kwa vitendo na kutimiza wajibu kuwa hapa ndipo.
jinyonge kama vipi!
CCM haikuwa hivyo na CDM haikuwa hivyo na haitakuwa hivyo milele. Tuwaache watoto wawe watoto though the issue is debatable. Kule west wao wanatumia saana group za youth lakini kwetu ni too much watoto ndio wanaotumika. Inasikitisha saana.. Kama ni muelewa na unargue kwa kutumia akili. Soma hii article hapa.
next time argue with points dont shout-wakati watu wanadrill points katika grey matter yako,just inhale and in a gentleman manner say thank you-ubishi for the sake of showing that u is a force to reckon with will do you no good,sana sana u will end up in a lunacy asylumso, you sya!!
rudi kijijini wewe!!!
usione aibu!
Huu ni upuuzi wa hali ya juu kama nijutiavyo siku zangu za chama cha jenga nchi. Kwanini tusimwache aamue. Ikitokea CDM ikamomonyoka, inamaana na confidence ya mtoto inaondoka. Yaani lolote litakalofanywa na CDM, dogo atahusika. Kwanini tusimwache mtoto awe mtoto? Huko shuleni kwake kuna walimu CCM, mtaani nk.
Yaani matatizo yetu ya rushwa na mifumo ya hovyo sasa hivi tunaanza kuwarithisha watoto. CCM wanafanya ndio, lakini je tunastahili kuiga?
switzerland,hapo kuna grounds za wewe kuwa answerable for whilst in full knowledge leading a minor astray
Matusi ya ccm na cdm yameanza....he he he mama usijeukashangaa huyo mtoto akija kuwa mwanaccm baadaye...
Ahahahahaaah!!! Kama kweli vile.....Si mwanangu wewe kinakuuma nini???:becky::majani7:
Ahahahahaaah!!! Kama kweli vile.....
Hee, huyu dogo ni mtoto wa John Mnyika?!!
Hongera MR!!Hapana ni wakwangu :mwaaah::mwaaah::mwaaah: