Mwanangu Kim Jong Un

Mwanangu Kim Jong Un

Unakosea sana kumfananisha Kim na kina Saddam na Gadaffi hao wote walikuwa wananunua silaha kutoka kwa watengenezaji n korea anajitegemea kwa kila kitu na hana cha kupoteza kumbuka alishatengwa na dunia zaidi ya nusu karne halafu hao na wakorea siyo wanafiki kama waarabu
Lakini ukweli ni kwamba hana ubavu wa kupambana na marekani na ataishia kama saddam na gadafi, namshauri atulize akili na aliunganishe taifa lake na korea ya kusini ili liwe taifa kubwa na la kutisha
 
North Korea ndio nchi pekee duniani raia wake wanaoishi kinyonge kuliko taifa lingine lolote lile duniani extreme communist country,raia wa North Korea haruhusiwi kutoka nje ya North Korea kwasababu yeyote ile wala hatakiwi kuwasiliana na mtu toka nje ya nchi yake,watu wote wanavaa nguo sare,viatu sare,hamna hata raia mmoja anaeruhusiwa kumiliki gari,magari yote ni mali ya serikali tu,kunyongwa ni adhabu ya kawaida sana North Korea,kwa kifupi raia wake hawajui ni kitu gani kinachoendelea nje ya nchini kwao,zile picha za majengo mazuri ni kaeneo kadogo tu ka north korea km mnazi mmoja hv kanakotumiwa kupiga picha za propaganda kuionyesha dunia kuwa north korea iko hivyo lkn ukweli ni kuwa north korea nzima umeme upo kwenye makazi ya mkuu wa nchi tu,chakula watu wote wanakula cha aina moja maisha yao ni zaidi ya jela,miaka ya 1960s na 70s north korea ilikopeshwa magari aina ya volvo na Sweden lkn iligoma kuyalipa hadi leo magari yale bado yanatembea north korea
Mtaongea yote lkn tunangoja muingie kuipiga NK mbona maneno kibao
 
anamuambia ukweli. korea hawezi kupigana na mmarekani. tuwe wa kweli tu. naamini siku amerika akiamua mazima huyo pyongyan atajaribu kila silaha itamgomea. kila kitu kitakuwa frozen na hatoamini. lakini ngoja tusubiri.
Mahaba niue......mbona mmegeuza
 
How is north Korea Army prepared psychologically to advance into the war? Have soldiers had any practical experience into the real combat than Americans?? I think also experience matter into the war.
 
Tukiwa bado tunaendelea na uchambuzi wa kitisho au kinachoendelea eneo la Asia Pacific kwa US kuivamia kijeshi Korea kaskazini tulisha zungumzia kitisho cha kiuchumi ambapo eneo la Pacific kwa mwaka kuna GDP ya$ 17.1566 Tillion na purchasing power ya 16 ambapo ndio number one ktk wanunuzi wakubwa wa bidhaa kutoka Ulaya na America na kuwa eneo muhimu kibiashara na Uchumi dunia

Leo tutakijita kwenye maswala ya kijeshi baada ya kuona kiuchumi katika uwanja wa mapambano kuna vitengo vitatu ambayo ndio engine ya kushinda vita au kushindwa vitu hvyo ni
1 Intelligence ( ujasusi wa kupata taarifa za kijeshi na Usalama wa adui wako
2Comminication (Mawasilino ndani ya uwanja wa mapambano)
3 Supplying ( Usambazaji wa vifaa,silaha au huduma ndani ya uwanja wa mapambano)

Hivyo ndivyo vitengo vitatu muhimu ndani ya uwanja wa mapambano lakini leo tutakijita kwenye kitengo cha mawasilino duniani kuna aina 5 za mawasilino
1. Optical Communication System
ambayo inabeba mitandao ya kijamii kama JF ,whats app,Facebook,snapchat
2. Radio Communication System
ambayo inabeba mawasiliano ya radio (simu za upepo) na simu za Satellite Phones
3. Duplex communications system
ambayo inabeba mawasiliano ya Telephone,
Mobile, Telegraph ,Fax mfumo huu unakuwa na kitu kinachoitwa Defense Communications System (DCS)
4. Half Duplex Communication System
mfumo huu unadeal na data , na video communication mara nying unatumiwa na watumiaji wa simu za mikononi
5. Tactical Communication System
mfumo huu mara nying unatumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwani unakitu kinachoitwa Voice Communication Control System (VCCS) ambayo unafanya mawasiliano yanakuwa guided

Sasa leo tujikite kwenye Tactical communication systems ambayo vyombo vya Ulinzi na kijeshi wanatumia kutokana na technology ilivyokuwa inaongezeka vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software au OS (Operating system)
na Duniani kuna OS 3 ambazo ndizo zinarun mfumo mzima wa mawasilino ya computer japo si 100% mifumo hyo ni
1Microsoft windows 83.3%
2MacOS 11.2%
3Linux 1.55%
So ukimpiga jumla unakuta ni 96.05% ndio maana ni kasema si 100%

Uwanja wa mapambano unategemea sana mawasiliano ktk Ops za kushambulia target na vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software yani kitengo cha mawasilino kipo busy kuliko vitengo vingine vyote threat pekee ni hackers kwa taarifa zilizopo jeshi la korea kaskazini wana kikosi cha kijeshi ambacho ni cyber special force ambacho kazi yao ni kuhack system mbalimbali za kijeshi na mawasiliano ya kijeshi na Usalama pia duniani korea kaskazini ndio nchi pekee yenye Operating system yake yenyewe kule hakuna Microsoft Windows ,MacOS au Linux so kwenye upende wa wao kuwa hacked ni ngumu sana

USA kuna tatizo sana kwenye upande wa NSA ambao kazi yao ni kuhakikisha na kudeal na Cyber threat kwani kumekuwa na matukio ya mashambulizi ya system zaa au mifumo yao na mahackers kutoka Russia , China na Korea kaskazini mifano ni

1 Mwaka 2015 Russian hackers walivamia State Department email system kwa kile kilichojulikana kama “worst ever” cyberattack against a federal agency.
2 Mwaka 2015 Ofisi ya menejimenti ya utumishi wa umma walireport kwa NSA kupotea kwa Americans’ fingerprints milion 5.6 za watumishi wa umma katika kile kilichojulikana kama ilikuwa ni cyberattack.
3 Government Accountability Office (GAO) wamereport kwa NSA kuwa kuanzia mwaka 2015 namba ya mashambulizi ya kimtandao yalipanda kwa 64% kutoka mashambulizi kutoka 5,500 mpaka zaidi ya 77,000 kwa mwaka ni 24 federal agences zilivamiwa
4 Machi mwaka jana hackers wa kutoka China waliendelea kufanya mashambulizi ya kimtandao dhidi ya serikali ya Marekani na mitandao binafsi, kwa mujibu wa U.S.mkuu wa Cyber Command Mike Rogers. China imekuwa ina husishwa na mashirika ya upelelezi ya U.S. kwa kufanya mashambulizi kwa lengo la kuiba taarifa na kuchora ramani katika mitandao muhimu ya kompyuta kwa ajili ya mashambulizi ya baadaye katika mgogoro au vita.

Yapo mengi ya kujadili lakini naomba niishie hapo lakini hii ni moja ya changamoto ktk vita hii ambayo Trump anataka kuanzisha je US wamejiandaa kupigana na jeshi hili la ofisini na silaha zao ni computer tu lakini silaha hizo zenye uwezo wa kulipua mabomu na mifumo yenu palepale Washington DC commands zikitoka Pyongyang kumbuka US anazo silaha za nuclear ambazo nying zinaongozwa kwa mifumo ya computer pia umeme na nishati ya kuendesha mitambo ni computerised je jeshi hili ambalo ni hatari kwa kuhack system mbalimbali za kijeshi na Usalama awawezi kugeuza DC na US kuwa gizani nishati hakuna na je Trump anao watu wa kufanya na kujilinda yakitokea mashambulizi hayo ya mifumo ya kiulinzi na mitambo maana naona National Security Agency (NSA) kama bado kuna tatizo kwani kama uchaguzi tu wahuni wamehack je itakuwa mitandao power systems zinazorun system za nuclear?

Tukipata muda tutakuja kuangalia kitengo cha intelligence kitengo number moja ktk uwanja wa mapambano
Hakika umetuelimisha wengi kwenye hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanya kosa kubwa kumlinganisha Gadafi, Sadamu Huseini &Co. na Mkorea, hao akina Sadamu ni Waarabu kama sisi Waafrika ingawaje wametuzidi kidogo ambao wana low intelligence, Wakorea ni kundi moja na Wachina, Wajapani, &Co. ni mbegu nyingine kabisa na Mzungu analijua hilo, Wakorea wanaongoza kwa high IQ Duniani hivyo kuwa mwangalifu kidogo hapo kwenye ulinganisho, kumbuka Sadamu Huseini alikutwa na chocolate za mars pmj na hollywood movies made in USA kwenye handaki lake, hata Gadafi pia alikua kutwa nzima yuko na Wazungu mpka walivyo mchenjia, lkn Mkorea (Kaskazini) mpaka operating system ya computer ni ya kwao yaani hatumii microsoft windows au sijui linux bali wana ya kwao wao wenyewe wameunda na siyo ya Mzungu hiyo ni tofauti kubwa sana!

Vifaa vyote vya akina Sadamu Huseini, Gadafi &Co. vilikuwa vinatoka kwa Mzungu hata Ikulu ya Gadafi Mzungu alijenga lkn Korea hakuna kitu kama hicho, Korea is the most secretive country in the world unaambiwa yaani hakuna anayejua kinachoendelea Korea, na isitoshe fikiria tu hakuna nchi inayoruhusiwa kufanya Biashara na Korea lkn angalia mambo wanayoyafanya, linganisha na Zimbabwe, hivyo usisahau hilo na ninakuhakikishia kamwe Mzungu hawezi kuipiga Bomu Korea hilo halitatokea, kwa maana Mkorea ana high IQ!
Yaani "Hakuna anayejua kinachoendelea Pyongyang"hapo tu mkuu halafu anawafananisha na maarabu yasiyojielewa Kama waafrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni zaidi ya miaka mitatu Sasa toka makala hii imeandikwa.Kwa hiyo Dunia imethibitisha pasipo Shaka kua
Marekani imeshindwa kuivamia Korea Kaskazini.
Pia napenda niweke kumbukumbu kua Ni Jana tu 28 march 2020 Taifa la Marekani liliwekeana makubaliano ya maneno na maandishi ya kumaliza Vita vilivyodumu miaka 18 na Kikundi Cha Talabani.
Taifa kubwa hapa lilishindwa kumaliza Vita kwa njia ya Vita,licha ya kuwa na silaha za kila Aina dhidi ya Watalaban,licha ya kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi yeyote hapa duniani,licha ya kuwa na mapesa kuliko Watalaban.
Kwa hiyo imethibitika kua Vita sio suala la fedha na uchumi mkubwa.
Marekani wanajiandaa kwa uchaguzi huenda Trump akaendelea au akaja mwingine.
Kama walivyoweza kusema wakuu huko Korea Kaskazini wakati Marekani ilipokua ikitoa vitisho vya kuipiga kijeshi kerea,kuwa "tuone Kama Trump ataweza walichoshindwa Marais wa MAREKANI waliomtangulia".
Trump nae Kashindwa,tunasubiri Rais mwingine baada ya Trump Labda.
 
Ni zaidi ya miaka mitatu Sasa toka makala hii imeandikwa.Kwa hiyo Dunia imethibitisha pasipo Shaka kua
Marekani imeshindwa kuivamia Korea Kaskazini.
Pia napenda niweke kumbukumbu kua Ni Jana tu 28 march 2020 Taifa la Marekani liliwekeana makubaliano ya maneno na maandishi ya kumaliza Vita vilivyodumu miaka 18 na Kikundi Cha Talabani.
Taifa kubwa hapa lilishindwa kumaliza Vita kwa njia ya Vita,licha ya kuwa na silaha za kila Aina dhidi ya Watalaban,licha ya kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi yeyote hapa duniani,licha ya kuwa na mapesa kuliko Watalaban.
Kwa hiyo imethibitika kua Vita sio suala la fedha na uchumi mkubwa.
Marekani wanajiandaa kwa uchaguzi huenda Trump akaendelea au akaja mwingine.
Kama walivyoweza kusema wakuu huko Korea Kaskazini wakati Marekani ilipokua ikitoa vitisho vya kuipiga kijeshi kerea,kuwa "tuone Kama Trump ataweza walichoshindwa Marais wa MAREKANI waliomtangulia".
Trump nae Kashindwa,tunasubiri Rais mwingine baada ya Trump Labda.
Sahihi kabisa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmh! siku mmarekani akipigwa nitafurahi sana yaan karibu maamuzi yote ya nchi za africa wanaamua wao. Resources zetu wamechukua wao madini, mashamba nk na nchi yeyote ikijitutumua kutaka kuzuia unyonyaji wao serikali iliyopo madarakani inapinduliwa. yaan Kwa kweli unyonyaji wao unachosha
Sahihi kabisa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Dunia imepoa sana kwa sasa..enzi zile Bwana..mwendo wa kujitoa Mihanga.Na tulikuwa tukisubiri video za Osama acha kabisa.
Siku hizi Corona
 
Ila Dunia imepoa sana kwa sasa..enzi zile Bwana..mwendo wa kujitoa Mihanga.Na tulikuwa tukisubiri video za Osama acha kabisa.
Siku hizi Corona
 
Hahaha wale jamaa wanaishi kama wapo kwenye machimbo ya Tanzanite Mererani ...yaani ukiwa huko chini hujui kinachoendelea duniani and vise versa is true ....

Wapo kwenye dunia yao ya tofauti kabisa


Ngoja na mimi niungane na mleta mada kumwasa

Chonde chonde kaka yangu ..jana ulifanya jaribio likafeli huenda ni mbinu ya kivita kuwaonyesha Magharibi huna chochote ile wajae kichwa kichwa kitakachofuata ni historia
Kuna mfumo anao huo ninzaidi ya s600 wa rusia na yeye ndiye aliubuni na kumgawia rafiki yake urusi aupunguzie makali ...urusi akaunda s400 ambao ni tishio hata mfumo wa marekani na israel ule wa thad haufikiii ...juzi kufanya jaribio likafeli ilikuwa boshen kuwavuta ...ila wakumbuke wakati anaipiga U.S.A japan na korea atakuwa kamalizana nao kabisa totaly .....itakuwa ni vilio na kusaga meno wamuache tu dogo !! Sio mwarabu huyo

sent from HUAWEI
 
Kuna mfumo anao huo ninzaidi ya s600 wa rusia na yeye ndiye aliubuni na kumgawia rafiki yake urusi aupunguzie makali ...urusi akaunda s400 ambao ni tishio hata mfumo wa marekani na israel ule wa thad haufikiii ...juzi kufanya jaribio likafeli ilikuwa boshen kuwavuta ...ila wakumbuke wakati anaipiga U.S.A japan na korea atakuwa kamalizana nao kabisa totaly .....itakuwa ni vilio na kusaga meno wamuache tu dogo !! Sio mwarabu huyo

sent from HUAWEI
Hatari sana
 
Ilikua hatari sana hii maneno.
 
Back
Top Bottom