TANZIA Mwanamuziki Tina Turner afariki dunia akiwa na miaka 83, alikuwa na Saratani ya Utumbo

Akiawai sema yeye
Na Ivon Chaka Chaka ndio wanawake wenye miguu mizuri
 


Inna lilahi wa inna ilaihi rajiuun.
 
Miaka 5 iliyopita,apumzike vema,alipambana
 

Attachments

  • images - 2023-05-25T055743.361.jpg
    32.3 KB · Views: 6
Mtambueni kama Malkia wa Rock and Roll,
Rest in peace Tina, uliyatendea vema maisha yako kwa kutupa burudani nzuri na ushawishi mkubwa,
Tutakukumbuka siku zote,

Msalimie MJ mkikutanašŸ„²
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreā€¦