Watu kam nyinyi sijui ni wa aina gani hapa duniani.Mange awe nabii nani kakudanganya?swala la babu seya kila mtu alikua anaongea hapa nchini afu we useme Mange aitwe Nabii??people wengine sijui mlitokeaga wapi
Nimeedit mkuu....Ipiiii
Hoja mfu.Hii ni reflection ya Lowassa so anayoyafanya Uchwara ni kutizama Edo alisemaje 2015
Kipenzi cha mungu yupi,tueleweshe vipenzi vya mungu,vinamuogopa na Ku mtii,vipenzi vya mungu vinajishusha na kusikiliza wanyonge na pia vinakubali kuambiwa ukweli.Magufuli kipenzi cha Mungu
wataenda wapi na ndio kwao hapa. Congo kuna vitaSidhani kama watakaa tena Tanzania hii
Siyo kawaida kwa data za umbea nilijua ni rahisi kuzipata!!ila presidential umbea hata huo!!Huyu mdada ni balaa
Uchwara anatafuta kick mkuu hapendi kukosolewaNampongeza sana mh Rais kwa kuwasamehe Papii Kocha na Nguza Viking. Ubinadamu umuingie pia kwa wapinzani wa kisiasa akifahamu kuwa kutofautiana mawazo si uadui, bali njia boda sana ya kujenga Mustakabali...
Msipindishe maneno....walidhalilisha watoto kingono!period.....Sema mademu