crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Subiri wazika mbwa waje. Patakuwa na povu hapa, hakutakuwa na pa kukanyaga.Wale waliokuwa wanawatetea watapinga sasa
Subiri wazika mbwa waje. Patakuwa na povu hapa, hakutakuwa na pa kukanyaga.Wale waliokuwa wanawatetea watapinga sasa
Soma Katiba ibara 45 kuendelea...Jamani mbona makosa yao hayapo kwenye msamaha???
Yaani kuwaacha kina babu seya ndiyo uzalendo? Mkuu kajifunze maana ya neno uzalendo. Kwangu mimi kwa hilo kafanya vzr kuwatoa maana ukweli wa kilichofanya wafungwe mimi sikielewi, lakini kuna wengine pia wamefungwa kwa makosa yasiyoeleweka na wengine walionewa na wengine walikosa msaada wa kisheria tu kuna haja ya hawa pia kuangaliwa pia.Huo ndio uzalendo wa kweli God is great....!
Sasa mtabaki na sera ipi?Lowassa sera yake imezingatiwa
What?Magufuli kipenzi cha Mungu
Kashalaaniwa huyoUnaweza pigwa mapigo matakatifu kwa kihoja chako hichi
Ulaaniwe na kizazi chako mbwa weweMagufuli kipenzi cha Mungu
Walioshangilia watoto wao hawakulawitiwa wangelawitiwa wasinge shangilia,mlawiti anahitaji kiiwawa sio kusamehewa.Watu wameshangilia mpaka baasi.....ni mwendo wa pangua safu yoote aliepanga mtangulizi hahahah
Serikali itashindwa vipi kujua?Kwanini kamera ziliondolewa.Kupigwa risasi Tundu lisu ni mbaya na hatujui nani kampiga, Ila kuachiwa Babu Seya pia hakuna ubaya
Ataachiwa kwa oda huyo hatatajwa maana haikuwa agenda ya chama fulaniLulu vipi hajaachiwa.
Kasome kifungu cha 47 ,na vifungu vidogoJamani mbona makosa yao hayapo kwenye msamaha???
Mm mwenyewe nimepiga yoweee la furaha,.wamesota jamaniii kha,.wakaanze maisha mapya huko kwao sasa waachane na bongo,.Watu wameshangilia mpaka baasi.....ni mwendo wa pangua safu yoote aliepanga mtangulizi hahahah