Mjema Vushanje
Senior Member
- Sep 24, 2017
- 159
- 353
Wenye kumbukumbu tumekumbuka!
Ushaambiwa Rais anaweza kufanya lolote kama unabisha warejeshe gerezaniJamani mbona makosa yao hayapo kwenye msamaha???
Wabaki wapige mziki wapate ugali.wahenga tbado tunaitaji mziki wao.live band itapendezaSidhani kama watakaa tena Tanzania hii
Kikwete ndio aliemfunga au ubakaji wakeHongera Rais kwa hili sijui Kikwete atajisikiaje.
Mapigo ya kumpiga Tindu risasi thelathini kana kwamba ni Tembo anauawa!!Loh.. Magufuli haha mapigo unayowapa chadema si ya nji hii!
Mkuu.. Endelea kusheherekea uamuzi wa rais wako kipenzi MagufuliUlaaniwe na kizazi chako mbwa wewe
Babu Seya kafungwa kipindi cha Mkapa na wala sio Kikwete... so mnamuhusishaje kikwete na babu seya..??Hongera Rais kwa hili sijui Kikwete atajisikiaje.
True mkuu...Edo anaakili sanaLowassa alisema Akienda Ikulu Angewafungulia watu povu likawatoka kweli kweli! Leo hii imetimia bado Mashehe kule zanzibar.
Wale walipinga watashangilia sasaWale waliokuwa wanawatetea watapinga sasa
Haki ilitendeka mahakamani hapa ni rais kasome upepo wa kukubalika ni mbaya kaamua kumtumia Babu Seya kama power bank au booster.Big up Mr president haki haki imetendeka