Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Kitendo cha kuwaachia huru wenye kifungo cha maisha na wauaji ni ishara kuwa mhimili wa mahakama unahukumu kesi bila kuchunguza ukweli halisi.
Mahakimu elimu yao haijawasaidia.
Je, kuna watu wangapi wenye kesi za kulawiti? Mbona hawajatoka au kwa kuwa sio maarufu?
Deo Kisandu
Mahakimu elimu yao haijawasaidia.
Je, kuna watu wangapi wenye kesi za kulawiti? Mbona hawajatoka au kwa kuwa sio maarufu?
Deo Kisandu