Mwanamme 'emotional'

Mwanamme 'emotional'

Asante, angalau umenipa mawazo chanya.

Nadhani wanavipa vitu maana kuliko uhalisia. Kama akipenda mtu anampenda mnoo, unaweza tamani kuomba POOO.

::
Kongosho
Mwanaume emotional ni zao la malezi,,too much anxiety,,low self esteem na stress.
Watu hawa wanapokuwa na tatizo hili wanahitaji kuwa na psychrists mapema.
::
Mwanamke unapopata zawadi ya kuwa na mwanaume wa aina hii,na ukawa strong..fanya yafuatayo kumsaidia
1.Kuwa postive ktk kauli zako.
2.Jitahidi kumsifia maana neno dogo toka kwa mke wana exaggerate ili kulipatia maana nyingi.Ila sifa ni dawa kwao.
3.Mwambie asiweke dunia ktk moyo wake bali Dunia imuweke ktk moyo wake.
=
 
Last edited by a moderator:
nahofia maamuzi yao.
Anapatwa na tatizo, mwingine unaona la kawaida yeye anajirestisha in pisi.

Ila nataka kujua jinsi ya kukabiliana na mtu wa aina hiyo. Ukizingatia hata mpendane vipi kukwaruzana kuko pale pale na huwezi jua yeye akalichukuliaje.

talking from experience i had a bf wa type hii, yaaani it was horrible.. kulia kwingi hata kama amekosea yy akiomba msamaha lazima alie sana..

for me niliona kua he is weak maana mtu dizaini hakawii kuchukua maamuzi mazto.

pia alikua mtoto wa mama sans kila kitu mama mama eeh! kazi kweli.
 
Yaani wanawake sijui huwa wanatakaje?
Ukiwa strong, wanalalamika, ukiwa emotional pia wanalalamika.
Ama kweli inahitajika akili ya ziada kuishi na hawa viumbe.

Utata zaidi ni kwamba kila mmoja wao ana vipimo vyake.

Too emotional kwa mmoja kwa mwingine ni kawaida na kawaida kwa mwingine ni too emotional kwa mmoja.

What do you do?
 
Sometimes emotions hubadilika kufuatana na mazimgira....mshauri akapige zoezi na mgambo wa jiji kama miezi mitatu hivi! siku akirudi kwanza unaanza kuchezea makofi.... lol
 
Yaani wanawake sijui huwa wanatakaje?
Ukiwa strong, wanalalamika, ukiwa emotional pia wanalalamika.
Ama kweli inahitajika akili ya ziada kuishi na hawa viumbe.

Ndibalema kuna ingine imepitiliza mpaka mpaka unakuwa huelewi.position yako. mi napenda mwamaume ambaye yupo strong maana nafeel am secured.
 
Last edited by a moderator:
Duuh, expectation ya mwanamke yeyote ni kupata mume 'strong', sasa huyu wa kumwaga machozi tena! Yaani atanifanya nimuone kuwa maamuzi yake mengi yatakuwa yanatawaliwa na emotions zaidi. Mwizi akituvamia jamani si atakuwa wa kwanza kuuwahi uvungu na wengine tukose pa kujificha?
 
Kitu kimoja tu kinapaswa kuwepo kwenye uhusiano,Upendo na kusikilizana. Suala la mwanaume kuwa emotional binafsi linanikera kwa kuwa kuna namna nategemea mwanaume awe kwa jinsi nilivyozoea kuwaona wanaume. Ila hainitishi,kinachonitisha tu mwanaume mwenye uwezo mdogo wa kufikiri na kufanya maamuzi. Akiwa emotional kiasi kwamba hana hela analia hapo sasa atakuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na kufanya maamuzi na hapo nitakimbia....lol
 
Duuh, expectation ya mwanamke yeyote ni kupata mume 'strong', sasa huyu wa kumwaga machozi tena! Yaani atanifanya nimuone kuwa maamuzi yake mengi yatakuwa yanatawaliwa na emotions zaidi. Mwizi akituvamia jamani si atakuwa wa kwanza kuuwahi uvungu na wengine tukose pa kujificha?

kweli kabisa Dina.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli, emotional kwa mmoja inaweza isiwe hivyo kwa mwingine:

at least najua kwangu, mfano mwanamme kapelekwa kwa kusingiziwa anakula mwanafunzi wa shule.

Badala awaze atajikomboa vipi, anawaza kama akihukumiwa bora ajimalize.

Mie nimeona ni 'too emotional', mie mwenyewe ningekomaa hadi tone la damu la mwisho. Afu unasikia mwanamme kakata tamaa kiasi cha kuwaza kujimaliza?

Utata zaidi ni kwamba kila mmoja wao ana vipimo vyake.

Too emotional kwa mmoja kwa mwingine ni kawaida na kawaida kwa mwingine ni too emotional kwa mmoja.

What do you do?
 
sikatai kuonesha hisia

nashindwa kujua cha kufanya unapojikuta mwanamme yuko emotional kuliko mwanamke.

Tena ni afadhali aoneshe emotions zake angalau ujue unadeal na mtu wa aina gani ukae naye kwa tahadhari.

Tatizo jinsi ya kumhandle.

Kwakweli napenda mwanaume asiye ficha hisia zake. Maana kujifanya brave huku unaumia inaweza kukuua.
 
ni kweli, emotional kwa mmoja inaweza isiwe hivyo kwa mwingine:

at least najua kwangu, mfano mwanamme kapelekwa kwa kusingiziwa anakula mwanafunzi wa shule.

Badala awaze atajikomboa vipi, anawaza kama akihukumiwa bora ajimalize.

Mie nimeona ni 'too emotional', mie mwenyewe ningekomaa hadi tone la damu la mwisho. Afu unasikia mwanamme kakata tamaa kiasi cha kuwaza kujimaliza?

Hao ambao wako suicidal sidhani kama unaweza kusema they wear their emotions on their sleeves.

Kuwa suicidal nadhani ni condition nyingine kabisa aisee.

Ona yule wakili maarufu Nyaga. Si inasemekana kajiua mwenyewe.

Yule jamaa tunaambiwa alikuwa na akili nyingi sana na hizo akili zake nyingi zilipelekea akawa wakili mahiri.

Sasa huyu tunamuweka kwenye kundi gani?
 
za kupotea? We missed you!

Labda kweli; matarajio ya mwanamme aweje kila mtu inatofautiana.


Kitu kimoja tu kinapaswa kuwepo kwenye uhusiano,Upendo na kusikilizana. Suala la mwanaume kuwa emotional binafsi linanikera kwa kuwa kuna namna nategemea mwanaume awe kwa jinsi nilivyozoea kuwaona wanaume. Ila hainitishi,kinachonitisha tu mwanaume mwenye uwezo mdogo wa kufikiri na kufanya maamuzi. Akiwa emotional kiasi kwamba hana hela analia hapo sasa atakuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na kufanya maamuzi na hapo nitakimbia....lol
 
inawezekana japo alikuwa na akili alikuwa na tatizo jingine pia.

Ujue kuwa 'breadwinner' au kuwa 'kiongozi' mahali ina gharama zake.

Hata kama una matatizo yako ya kihisia unakosa pa kusemea sababu unajua wanaokuzunguka wanategemea uwe ngangari na mwerevu muda wote.

Huna wa kumweleza your little worries.

Ila si alikuwa na mke? Si angekuwa anashare naye mambo?

Ila swali la msingi, kweli kajiua? Anyway, until firther notisi tunachukulia kajiua.

Hao ambao wako suicidal sidhani kama unaweza kusema they wear their emotions on their sleeves.

Kuwa suicidal nadhani ni condition nyingine kabisa aisee.

Ona yule wakili maarufu Nyaga. Si inasemekana kajiua mwenyewe.

Yule jamaa tunaambiwa alikuwa na akili nyingi sana na hizo akili zake nyingi zilipelekea akawa wakili mahiri.

Sasa huyu tunamuweka kwenye kundi gani?
 
za kupotea? We missed you!

Labda kweli; matarajio ya mwanamme aweje kila mtu inatofautiana.

Nzuri,utukufu kwa Mungu....you were missed too Kongosho!

Mwanamme aweje tunatofautiana kwa kweli, mi naweza kuwa nataka tu nipate mtoto wewe unataka mtu wa ku-share nae shida na raha,huyo huyo awe baba watoto,kiongozi wa familia na mwenye neno la mwisho,huyo huyo financial provider etc...tunatofautiana kwenye nini tunataka kwa kweli na ndo maana hata uwezo wa kuwamudu tunatofautiana kutokana na utofauti wao na wetu....lol
 
Back
Top Bottom