Hizo zote ni Tabia huwezi kuzijua mpaka mmekulana,Mambo ya Kibinaadamu mnaelezana Tu. Utakosa Ndio nyinyi mpo na wake zenu Mnaangalia Pizi Zetu Zinapita.Kenge huwa hasikii mpak atokwe na damu masikioni
Ukitaka uhuru na mambo mengine yaende nenda kanunue na usepe zako kwa nyakati hizi hali ni mbayaAhlan wa sahlan
Kuna wanawake wa aina nyingi hapa duniani.Kuna baadhi ya tabia zao zikianza kujionesha katika mahusiano yenu jua kuwa taa nyekundu imeshawaka na yakupasa ushtuke na usepe mapema.
Mwanamke ambae hakusalimii wala kukujulia hali wala kukutakia usiku mwema mpaka umuanze wewe jua kabisa kuwa haupo kwenye moyo wake. Hapa ndugu unatakiwa ushtuke mapema na ikiwezekana temana nae.
Mwanamke ambae ukimtumia sms zako anazisoma halafu hakujibu ontime kwa kisingizio kuwa yupo busy na kazi , na anajibu anavyojisikia yeye labda baada ya siku moja su hata wiki baada ya kuzisoma jua kuwa huna umuhimu kwake ,hivyo inakupasa ujiongeze.
Mwisho ni mwanamke ambae ukiona anakutafuta au kukujulia hali yako ni pale tu anapokuwa amekwama kiuchumi.Huyu temana nae na umfungie vioo kabisa maana hakufai ,umuhimu wake kwako ni katika masuala ya pesa tu.
Mada yangu imelenga katika mrengo huo ila yes nakubaliana na ww pia kuwa inaweza kuwa vice versaKwahiyo mkuu unamaanisha hizo tabia ni kwa mwanamke tu? Mwanaume kwake ni sawa kuwa hivo?kiukweli kabisa ukimpenda mtu yaani unatamani kila saa muongee, mimi napenda kuongea, text kujuliana hali nk . Ila kama humpendi mtu hata ukiona text yake hushtuki kabisa. Hii ni kwa wote lkn si wanawake pekee
Mkuu mambo ya kidunia tu hayaTulia eleza vizuri nn kimekupata mkuu
Ok but why ulenge upande mmoja tu wakati wote wanahusika ? Umeeleweka mkuu.Mada yangu imelenga katika mrengo huo ila yes nakubaliana na ww pia kuwa inaweza kuwa vice versa
Asante kwa masahihisho...Point nzur Sana,
sema hapo kwenye "mwanamke" ungeweka "mpenz" Maana point zako zinagusa kotekote
Stuka mapema kabla hujawa mtumwa juu yake! Binadamu huwa tuna hulka ya kuhangaika vile vitu adimu. Kama hakupi attention yake kwako,wala usijihangaishe kumfanya atambue uwepo wako, we mkaushie halafu anza maisha mengine. Btw , wapo wazuri wengi zaidi yakeKuna ukweli hapa kumbe Mimi huyu wangu hapa hatutoboi
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Unapotaka kutoa hoja pendelea kujielezea ww km ww na sio kuanza kuulzia upande wa pili, Mada imeelezea tabia za wanawake unaanza kusema et hata wanaume wako hvyo...stick kwenye topic husika ......Ok but why ulenge upande mmoja tu wakati wote wanahusika ? Umeeleweka mkuu.
Mkuu acha kudandia gari kwa mbele wewe, umeona comment yangu ya hapo juu nyingine? nimeelezea ndiyo nikaulizia kwamba wanaume wao ni sawa? kosa langu ni lipi hadi unifundishe kustick kwenye topic? bila hata kuwaza kwa mapana yake?.Unapotaka kutoa hoja pendelea kujielezea ww km ww na sio kuanza kuulzia upande wa pili, Mada imeelezea tabia za wanawake unaanza kusema et hata wanaume wako hvyo...stick kwenye topic husika ......
Jifunze kujenga hoja pasipo kutafuta upande wa kuegemea