He! Mwigulu kumbe hili pia linmhusu?Kwa hili suala nakushauri umtafute Bw. Mwigulu Nchemba atakusaidia kwa ushauri na mengineyo. Kila la kheri mkuu.
He! Mwigulu kumbe hili pia linmhusu?Kwa hili suala nakushauri umtafute Bw. Mwigulu Nchemba atakusaidia kwa ushauri na mengineyo. Kila la kheri mkuu.
du hatari nshawahi kula house girl wa jiran balaa shughuli yake enz ya ujana 90s nikaja safir mtoto wa bosi akaoa kitu.alikua mzr sana muhaya akaamua kuchanya damu
Toba! Kiukweli nimepatwa na woga sana jamani. Sasa sijui tukaoe wapi?
ndugu zangu mnachokiongea ni kweli kabisa imewahi kunitoke niliwah kuwa na demu wa kirang yupo std7 mimi nipo form6 sasa wakat naenda kudo nae nikafikiri naenda kuharibu kwa uoga nilikuwa nao ila huwezi amin na ukubwa wangu wote huu nilitoshd afu huyo bint tukaja tukagombana cha maajabu akaja akamkubali mdogo wangu mtoto wa baba yangu mkubwa baada ya nikaona wivu ikabid nimuharibie bwana mdogo afu nikaja nikapata mwingne ye nikadhamiria kabisa nioe lakin tumeachana sababu hiyo hiyo ya ukicheche unakuta anakuambia amechoka anataka kulala unashangaa ukipiga namba yake unakuta busy mpak saa 7night afu cha kushangaza ding ya aliekuwa mchumba wangu amekimbia familia akaoa mwanamke mwingne kwa kweli kwa hili hata mi nikuwa na mchumba mrang ila nimejivua gamba
wengine wanasema hauhitaji ku-seduce sana, unagusa na kukubaliwa tu kama vile kunuua fungu la nyanya sokoni, halafu na hili la kuwa unaweza ukala dada mtu mpaka mama mkwe limekaaje? ushawahi kulisikia kwa hawa viumbe wa huko?
mchumba wangu ana mchaganyiko wa huko, hebu ngoja nimtest dada yake nione kama nitagonga!...nikipiga mzigo napiga chini wote. ila mbona mchumba wangu anaonekana yuko pouwa kitabia? au ndio kawaida yao?Kula dada mtu,mdogo mtu na mama mkwe ni kitu cha kawaida kwa mazingira yao.Hapo juu mtu amechangia kua mabinti wa kirangi wanazaa wakiwa wadogo sana,Kwa hiyo akili zao,matendo yao,muonekano wao wa kuvutia na shauku za ngono unafanana.Uwezekano wa dada mtu,mdogo mtu na mama mkwe kujilengesha ni rahisi maana wote wanajiona wako sawa,na ukweli ukiwaangalia wote wanavutia utadhani kua ni marafiki kumbe kuna mama,dada na mkeo.
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
Sikiliza mkuu, Tabia za watu huwezi kuzigeneralise kwa makabila, kwani tabia zzipo za kila aina ktk kila kabila, mm sidhani kigezo hapa kama ni kabila, issue ni tabia ya mtu, na unachotakiwa kufanya ni kumchunguza mhusika mazingira anapoishi, tabia yake na maadili ya familia alikotoka kwa wazazi wake , hiyo itakupa picha kamili. nimetembea sehemu tofautix2 ktk tanzania na hata nje na tz, kitu ambacho naweza kukuambia hakuna mwanamke ambaye ni perfect, mwanamke ili akuvulie chupi ni lazima kwanza ajiashue secrecy ya kutosha, awe huru na wewe, na ajisikie secure na wewe, hayo tu kwa mwanamke yeyote duniani hata mtoto wa obama unaweza chukua. tunachojali hapa ni yale maadili ambayo mtu binafsi anakuwa naye regardless of kabila, dini au chochote kile, kwa hiyo maadili kwanza.
hebu fafanua kidogo...ajipange kuwa na nguvu za kiumeza kutosha au kudhibiti kuibiwa mno au ajipange kwa kitu gani? ,uweke wai mwenzio tafwazali!Kazi unayo mkuu jiandae na ujipange tena saaaana!!!!
Kula dada mtu,mdogo mtu na mama mkwe ni kitu cha kawaida kwa mazingira yao.Hapo juu mtu amechangia kua mabinti wa kirangi wanazaa wakiwa wadogo sana,Kwa hiyo akili zao,matendo yao,muonekano wao wa kuvutia na shauku za ngono unafanana.Uwezekano wa dada mtu,mdogo mtu na mama mkwe kujilengesha ni rahisi maana wote wanajiona wako sawa,na ukweli ukiwaangalia wote wanavutia utadhani kua ni marafiki kumbe kuna mama,dada na mkeo.
roho mbaya ni tabia ya mtu! kwani hao wanaounuza wototo ni warangi?
duuuh!, k zao ni safi kwa sababu zinatumika mno?Sifa kubwa ya wanawake wa kirangi inayonifurahisha ni kuwa ni wajuzi sana wa kuosha uchi,,yani k ya mwanamke wa kirangi ina ile harufu ya asili tuu na sio harufu ya uvundo!!!
hongereni sana dada zangu wa kondoa kwa kazi yenu nzuri.
kumbe pamoja na kuwa wanarukaruka, wakishampata mtu wanatulia, sasa hapo kuna ubaya gani? labda wanahangaika wakiwa wanamtafuta mtu ila wakishamata wanatulia! au we unasemaje mkuu milundikwa?Nmesoma post zenu juu ya mwanamke wa KIRANGI kama mnavyojua hata rangi yao kwa kuwa huwa ni weupe sana sasa hutumia rangi zao vibaya sana kwani hawana tabia ya kuwakataa wanaume siku zote wao huzani ni huruma. Kaka plz usijaribu hata kidogo ukajuta siku za mbele, angalia tabia zingine so general kwa hili kabila. Namkumbuka dada mmoja pale chuo kikuu Udom alikuwa anasoma Ed Biology alikuwa anawatafuta mabwana mwenyew hadi alipompata basha mmoja mtu mzima POLISI ndipo alikuja kutulia "kaka hawa ni Malaya HATARI"
huenda wanawaonea tu jameni...mbona naonaga kama wametulia sana? halafu ni full ushungi kama wazanziberi vile!Duuu! kumbe noma hawa raia wa nkamia wanagawa styre ya kula x3 simo humooooooooo!!!