Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.
achen kumpotosha mwenzenu ukicheche ni tabia ya m2 mbona kuna wa2 c warang na hawafai hata kwa kurumagia


tofautisha kati ya asili ya sehemu na tabia ya mtu
mf: wachaga kwa ubahili na mafanikio mbona hatusemi ni tabia ya mtu?
kwa7bu wote tunajua asili ya
Mchaga ni nini!
Asili ya wadada tanga ni mauno na chachandu za kutosha kiunon!!
 
  1. Mchagua sana nazi huchagua koroma.
  2. Mchagua jembe si mkulima.
  3. Ukichamba sana utatoka na ngama mkononi.
  4. Ukimchunguza sana bata huwezi kumla.
  5. Ujanja mwingi mbele giza.
  6. Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu.
 
Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.
mkuu umenichekesha sna kwa ushaur unaompa jamaa! Kwel dunia inamambo mwenzako anashida we unamtania
 
hivi ni kweli haya yanayosemwa dghidi ya wanawake wa kirangi? ngoja na mimi nizame kitaa nikatafute mmoja nione kama hawana uchoyo!
 
hivi ni kweli haya yanayosemwa dghidi ya wanawake wa kirangi? ngoja na mimi nizame kitaa nikatafute mmoja nione kama hawana uchoyo!
Mkuu salama? Naona umeikomalia sana hii issue ya mwanamke wa kirangu, pages zote haukosekani, hahaha!
 
Mkuu salama? Naona umeikomalia sana hii issue ya mwanamke wa kirangu, pages zote haukosekani, hahaha!
nawaonaga sana walvyo warembo hivyo napenda kujua undani wao ili ikitokea na mimi nikikamata mmoja nisije nikasema sikuwa na taarifa, hivyo nachokonoa ili nipate ukweli.
 
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu



Mkuu ERIC JOSEPH nikuulize, una pressure? Kama unayo basi tafadhali achana na huyo demu mara moja kwani warangi bwana wana katabia moja ambayo ni chafu sana. Wanawake wao wanapenda sana kutembea na spare chupi kwenye mifuko yao ya rambo. Yaani wako tayari kwa kugawa muda wowote ule, na hawana noma hawa kwani wanagawa hata kwa watoto wa mitaani. Wewe utashangaa tu unapita mtaani kwako unachekwa na vifaranga vya kuku maana kila mtu atajuwa kuwa mkeo ni msamaria mwema.
 
Last edited by a moderator:
Ni noma sana hao wadada mi naishi nao huku lazima ujipange sana ndo uoe ila ukikurupuka ndugu yangu utaumia sana
 
Mkuu ERIC JOSEPH nikuulize, una pressure? Kama unayo basi tafadhali achana na huyo demu mara moja kwani warangi bwana wana katabia moja ambayo ni chafu sana. Wanawake wao wanapenda sana kutembea na spare chupi kwenye mifuko yao ya rambo. Yaani wako tayari kwa kugawa muda wowote ule, na hawana noma hawa kwani wanagawa hata kwa watoto wa mitaani. Wewe utashangaa tu unapita mtaani kwako unachekwa na vifaranga vya kuku maana kila mtu atajuwa kuwa mkeo ni msamaria mwema.
mh! mbona ma-big hayo? msamaria mwema?
 
Lakini hao wamburu wanyiramba na warangi ndo wazuri, sie tunaosafiri huku na huko ndo wanatusaidia ili mradi tu salama uwe nazo muda wote ikibidi hata kwenye gari tembea nazo kwani sometimes waweza kuwa kijijini ukadaka wa fasta wao hawana shida, niliwahi kukaa singida hapo ilikuwa ni kugusa tu ila wengi wanazaa wakiwa wadogo sana kiashiria kuwa wanaanza ngono mapema sana. Kweli dada zetu hawa inabidi wapewe somo, kwani hata dar ukikutana nao ni rahisi sana kuwagonga kuliko makabila mengine.

Keleuwiiiiii...... jaman hii thread imenitoa stress zangu, nimeipenda sana babaaaanguuu
 
Daaaah, Kuna mmoja wa kabila hili hili namlia mingo subirini kama mambo yakiwe byeee ntawaambia !

Kazana mjomba mm nimempata mmoja juzi juzi ana k... kama ya mtoto wa primary yaani nasuuzika naye mpaka basi.
 
Mod hizi thread nyingine zinafanya generalization na kutukana makabila ya watu.
 
Nakubaliana na wewe

Haya mambo ya makabila yameharibu sana nchi yetu, ni kansa mbaya sana itakayotufanya vibaya kuliko hata wakenya... Mimi naamini na nina ushuhuda kwamba mke mwema hupewi na baba, mama, rafiki, jirani wala ukoo... unapewa na Mungu

tunachofanya humu jamvini ni kufanya kazi za Mungu na kuwa judgemental

it is very sad

Kinachofanyika hapa watu wanatoa ushuhuda tu nadhani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom