Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.
Wanakeketwa, hawajui kusema hapana. Oa uolee na wenzako, ni ushirikiano wa kichina enzi za Mao Tsung.
 
Wanakeketwa, hawajui kusema hapana. Oa uolee na wenzako, ni ushirikiano wa kichina enzi za Mao Tsung.
mh....hii yako ya kuoa uolee na wenzako nayo kiboko..una mifano halisi? hebu imwage kama unayo kazikubwa
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
s
asa ndo ushaoa au? maana tumesubiri mshindo nyuma (feedback) naona hakuna! au maoni ya wadau yamekuogopesha?
 
achen kumpotosha mwenzenu ukicheche ni tabia ya m2 mbona kuna wa2 c warang na hawafai hata kwa kurumagia
 
hebu tupe mrejesho, ushaoa huyo mrangi uliyekuja kuuiziatabia zake hapa?mbona kimya? tunataka mrejesho nyuma ilitujue kama waliyokushauri humu yamekutokea!
 
Na wewe km si mrangi akitokea mrangi mwenzie wa kiume mitaa yenu atakula mzigo!
mh! Chimunguru, huko unakoenda mbali...kama wana tabia hiyo basi hawafai hata kurumangia kwa ugali...kwa iyo ukioa ujiandae enzi za mwalimu za ujamaa?
 
Last edited by a moderator:
Kaka chunguza tabia ya mwanamke husika maana ndiye unayemuoa na si kabila, jitambue mwenyewe ni kitu gani kinachokuvutia kwa mwanamke, tabia gani unazotaka mkeo awe nazo, sura gani unayotaka mkeo awe nayeo, umbo gani n.k kisha angalia kama huyo unayetaka kumuoa anavyo vigezo hivyo? kama hana jiulize kama unaweza kuwa nae na ukampenda kwa dhati licha ya mapungufu aliyonayo? kama jibu ni ndiyo oa kaka. Mivuto ya wanawake hutofautiana kutoka mwanaume mmoja na mwingine, kinachokuvutia kinaweza kisinivutie hata kidogo na kinachonivutia kisikuvutie wewe si kwa sura tu bali hata tabia, hivyo nakushauri mchunguze kwa kina ili ugundue kama anakidhi hitaji la moyo wako ama la!
 
Hongera sana kwa kupata mke wa kirangi,na asante kwa kutaka ushauri pia,kuwa makini na hiyo kabila mana makabila baki yanayo oa hapo wanashindwa zaidi ya hapo wanaoana wao kwa wao sikushauri kuoa
 
uclogwe hawafai ingawaje cwez sema ni wote lakn kwa jamaa zangu zaid ya kumi nilioona wameoa huko wameachana. kosa ni kufumania, uchawi na mengi mengineyo.
 
Hawa tabia zao ni mbaya sana:hawapendi kuishi na ndugu wa mume,ni wagonvi sana,hawaridhiki na mume mmoja.kuna jamaa mmoja kule songea tajiri wa kuuza vipodozi alioa mwanamke wa kirangi na kuzaa nae lakini timbwili alilokutana nalo mpaka leo hana hamu ya kuoa tena.
 
Hawa tabia zao ni mbaya sana:hawapendi kuishi na ndugu wa mume,ni wagonvi sana,hawaridhiki na mume mmoja.kuna jamaa mmoja kule songea tajiri wa kuuza vipodozi alioa mwanamke wa kirangi na kuzaa nae lakini timbwili alilokutana nalo mpaka leo hana hamu ya kuoa tena.
mh! hebu dadavua ni kitu gani kilimpata huyo tajiri au huyo mwanamke alimfanyia nn ambacho ni cha kumfanya akate tamaa kukutana na hilo kabila!
 
Kama huwezi kwenda Kondoa nenda tu Arusha utapata full story
 
Hahaha, bado nafanya research mkuu! Lakini pia, mke mwema hutoka kwa Bwana!
Nakubaliana na wewe

Haya mambo ya makabila yameharibu sana nchi yetu, ni kansa mbaya sana itakayotufanya vibaya kuliko hata wakenya... Mimi naamini na nina ushuhuda kwamba mke mwema hupewi na baba, mama, rafiki, jirani wala ukoo... unapewa na Mungu

tunachofanya humu jamvini ni kufanya kazi za Mungu na kuwa judgemental

it is very sad
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom