sasa hapo umejifunza nini Setuba Noel? kuwaoa au kuwakimbia hao viumbe?
nakuunga mkono kabisa...kwa hiyo tuwashauri walioa hiyo kitu wakimbie kabisa kabla hali haijawa tata?Nimejifunza na nimeshukuru sijaoa mrangi. Ningekuwa bado sijaoa, hao ndio wangeingia katika list ya "at your own risk", so nisingethubutu. Wahenga walisema lisemwalo lipo, hebu ona comments karibu zote zinavyoonya dhidi ya warangi wa kike. Hii si bure, japo siwajui sana hawa, lakini maonyo yote haya si ya kupuuza. Over 200 posts na karibu zote dhidi yao, si bure!
una maneno makali......ni wote au ni baadhi tu wenye tabia hizo? ina maana ukiwa naye tu jiandae kuchangia na ndugu...wanafanya kwa siri au mpaka kila mtu atajua?
SI maneno makali ila wanaboa sana, nakwambia hivyo kwa sababu, mm nina uncel wangu alikuwa anakaa na mdogowake na house boy , pamoja na mtoto wa mama yangu mdogo, ikabidi waweke house gilr wa kirangi, amechanganyika na mbulu,sasa akawa anatembea na uncle mkubwa, baada ya muda akaanza kutembea na mdogo mtu , akaona haitoshi akawa anampa na mtoto wao, pia akiona haitoshi akampa na houseboy, sasa akawa na mimba,mjomba mkubwa akafurahi sana akatangaza kuoa, mjomba mdogo akalalamika kuwa ni demu wake, mtoto naye akasema mimba ni yake aliyefanya watu wakachoka zaidi ni houseboy alipomwambia mjomba mkubwa anataka kumuoa huyo dada kuwa walikuwa na mahusiano na kwa sasa ni mjamzito. EMBU ANGALIA HAPO MTOTO NI WA NANI? NA KUMBE ALIKUWA ANAWAPA SERVICE WANAUME WOTE WANNE NDANI YA NYUMBA MOJA. NA KAMA NI UGONJWA SI WOTE WAMEKUFA? JE HAO UTAWAONAJE
Mhhhh...huyo sasa alikuwa zaidi ya kawaida..aliwezaje kuwapanga na wao hata hawakujuana? kwa hiyo huo mtindo hata mke wa mtu anaweza kuwa nao sasa maana kama ana tabia hiyo sidhani kama hata akiolewa anaweza kuacha...duuuh! kweli wewe unawafahamu sana hawa viumbe wa kirangi!SI maneno makali ila wanaboa sana, nakwambia hivyo kwa sababu, mm nina uncel wangu alikuwa anakaa na mdogowake na house boy , pamoja na mtoto wa mama yangu mdogo, ikabidi waweke house gilr wa kirangi, amechanganyika na mbulu,sasa akawa anatembea na uncle mkubwa, baada ya muda akaanza kutembea na mdogo mtu , akaona haitoshi akawa anampa na mtoto wao, pia akiona haitoshi akampa na houseboy, sasa akawa na mimba,mjomba mkubwa akafurahi sana akatangaza kuoa, mjomba mdogo akalalamika kuwa ni demu wake, mtoto naye akasema mimba ni yake aliyefanya watu wakachoka zaidi ni houseboy alipomwambia mjomba mkubwa anataka kumuoa huyo dada kuwa walikuwa na mahusiano na kwa sasa ni mjamzito. EMBU ANGALIA HAPO MTOTO NI WA NANI? NA KUMBE ALIKUWA ANAWAPA SERVICE WANAUME WOTE WANNE NDANI YA NYUMBA MOJA. NA KAMA NI UGONJWA SI WOTE WAMEKUFA? JE HAO UTAWAONAJE
kusugua ndala??? hebu fafanua fanta baby maana mm sijakuelewa sijui kwa sababu ya udogo wangu katika tafsida!wanajua kusugua ndala balaa..
hebu mwaga kila kitu ulichokiona huko urangini ili wanajamvi wapate faida kamanda! maana kama umekaa huko utakuwa umesheheni taarifa mwanana kuhusu hao viumbe wa kike kutoka urangini!Shida yake twaijua tuliokaa Kondoa
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
sasa kama wamekeketwa inakuwaje wanakuwa vicheche! fafanua zaidi JIWEGANGI tukuelewe!kwa kifupi wengi wamekeketwa so kwenye yale mambo yetu ni lazima uwe na nguvu na maubunifu ya ziada ili kumpandisha mzuka.mengine mengi muulize mh. tundu lisu.
kwa hiyo wana sifa zote?...ukicheche na roho mbaya...!mbona ni balaaaaaa?kwakwel ndugu ze2 kwa muonekano 2 ni wazuri ila most of them wana roho mbaya
acheni kutuonea jameni mpaka mwenyewe najionea huruma...kwakwel ndugu ze2 kwa muonekano 2 ni wazuri ila most of them wana roho mbaya
roho mbaya ni tabia ya mtu! kwani hao wanaounuza wototo ni warangi?kwa hiyo wana sifa zote?...ukicheche na roho mbaya...!mbona ni balaaaaaa?