Waporipori level ya Kipepe
![]()
![]()
![]()
![]()

Sisi tunalima zabibu tu,mifugo ya wamasai.Nyie mnaolala na mifugo yenu ndo mmeambukizwa magonjwa hayo kisha mnayaleta Dar maana kila siku mnashindana kushuka Ubungo Bus Terminal
![]()
![]()
![]()
kwani nabishana peke yangu???????si nipo na wewe,ng'ombe weyeeeeeeeeeeeeBado unaleta ubishi wa king'ombe
Ndo asiliyenu
Hivi ni waporipori au wanyama pori?Sijakuelewa Bitoz.PardonWaporipori level ya Kipepe
![]()
![]()
![]()
![]()
hapo kwa wasuku** unamchokoza mkuu wa kayaAfadhali umekuja
Mwezi wa 6 nilikuwa Mwanza nasubiri ndege nikamuona Msukuma anataka kupanda na mifugoytake
![]()
![]()
![]()
kwiii kwiiiiUnaenda supermarket unamkuta mporipori anatumia nguvu kupanda ngazi inayotumia umeme bila kujua kwamba kuna ya UP na DOWN matokeo take anatumia ya down Massa mawili anajikuta yupo palepale
Kama namuona vile ndani ya hiyo scene.The gods must be crazy.Paka anapigana na image yake kwenye kioo.Unaenda supermarket unamkuta mporipori anatumia nguvu kupanda ngazi inayotumia umeme bila kujua kwamba kuna ya UP na DOWN matokeo take anatumia ya down Massa mawili anajikuta yupo palepale
ni kuonyesha jinsi gani tunafuata democrasia huku hatujengi ukutaVipi kuhusu nyie mnaolala banda moja na ng'ombe,bata .kuku n.k
unaijua Dodoma wine weyeeeeeeeeeeeee???Mporipori kabwie kwanza ugoro ndo uje tubishane
Mi napiga Castle Lite hapa
Una akili sana weweUsikute hao wanawake pichani ni wanaume wa Dar, maana siku hizi huwezi juwa nani mwanamke nani mwanamme kwa jinsi wanavyofanana mpaka makalio bandia.