Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,978
- 4,743
dogo rudi huku kumeanza kulipa we endelea kuchakaza kizazi na videmu vyakoSijasema umetukana bali "tunataniana hatutukanani"
Joto City ndo mpango
Endeleeni kupalilia mipapai
dogo rudi huku kumeanza kulipa we endelea kuchakaza kizazi na videmu vyakoSijasema umetukana bali "tunataniana hatutukanani"
Joto City ndo mpango
Endeleeni kupalilia mipapai
lakini wanaosoma wanatoka Daslaam yaan we acha tuSiyohovyohovyo tu bali pia kishamba ndio maana pia kuna chuo cha vilazer kinaitwa UDOM
vipi nyie mnaolala darajani na vinyesi???haaaa haaa daslaaam buanaVipi kuhusu nyie mnaolala banda moja na ng'ombe,bata .kuku n.k
lakini hata muhimbili wanatibu vichaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaSiku zote Chizi hujiona mzima
Waliojenga Milembe kwenu hawakuamua kwa bahati mbaya
hapo UDSM wanatoka huku,ila UDOM wanatoka huko coz mnalala club badala ya kusoma,ndo maana hakuna rais katoka daslaam wote mikoani tangu JK-JPM,mmezidi vigodoroWanatoka mabush/mikoani siyo Dar
Dont be mad mzee,;maisha ni haya haya endapo hali inaruhusu, haijalishi unakiwanja, una nyumba umepanga, au bado unakaa kwa mazaa, jipe raha kivyovyote vile, hata huko ulipo unaeza kapy maisha ya dar na siku zikasongawengi mnaoona Dar ni kwa maana sana mmekuja kwa ajili ya shule tena level ya chuo mkapata vikazi na kwa bahati mkono wa MUNGU akawabeba mkapata fursa na hasa kununua kagari na kupanga upande ndo mnaona mmefikaaaaaa!
acheni dharau na maisha ya tamthilia
Urais kitu gani?hapo UDSM wanatoka huku,ila UDOM wanatoka huko coz mnalala club badala ya kusoma,ndo maana hakuna rais katoka daslaam wote mikoani tangu JK-JPM,mmezidi vigodoro
DAR inaongoza kwa magonjwa ya akili,ya pili Mwanza alafu Rukwa,sisi kazi yetu kuwahudumia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Muhimbili ni hospitali ya rufaa inapokea walioshindikana huko kwenu Milembe
kwiii kwiii nani???maana kukaa Dar sio wa Dar ila kuzaliwa hapoUrais kitu gani?
Wafanyabiashara ndo mpango
Mtu billionea anatoka Dar
Mabasi ya mikoani yananuka ng'ombe wakati hayabebi mifugo.Hivi hii inatokana na nini?Urais kitu gani?
Wafanyabiashara ndo mpango
Mtu billionea anatoka Dar
Nyie mnaolala na mifugo yenu ndo mmeambukizwa magonjwa hayo kisha mnayaleta Dar maana kila siku mnashindana kushuka Ubungo Bus TerminalDAR inaongoza kwa magonjwa ya akili,ya pili Mwanza alafu Rukwa,sisi kazi yetu kuwahudumia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!