Mwanamke wa Dar

Bush bado kuna wasela nondo wanaovuta bhangi iliyochanganywa na kinyesi cha binadamu.
 
Wanatoka mabush/mikoani siyo Dar
hapo UDSM wanatoka huku,ila UDOM wanatoka huko coz mnalala club badala ya kusoma,ndo maana hakuna rais katoka daslaam wote mikoani tangu JK-JPM,mmezidi vigodoro
 
wengi mnaoona Dar ni kwa maana sana mmekuja kwa ajili ya shule tena level ya chuo mkapata vikazi na kwa bahati mkono wa MUNGU akawabeba mkapata fursa na hasa kununua kagari na kupanga upande ndo mnaona mmefikaaaaaa!
acheni dharau na maisha ya tamthilia
Dont be mad mzee,;maisha ni haya haya endapo hali inaruhusu, haijalishi unakiwanja, una nyumba umepanga, au bado unakaa kwa mazaa, jipe raha kivyovyote vile, hata huko ulipo unaeza kapy maisha ya dar na siku zikasonga
 
hapo UDSM wanatoka huku,ila UDOM wanatoka huko coz mnalala club badala ya kusoma,ndo maana hakuna rais katoka daslaam wote mikoani tangu JK-JPM,mmezidi vigodoro
Urais kitu gani?
Wafanyabiashara ndo mpango
Mtu billionea anatoka Dar
 
Muhimbili ni hospitali ya rufaa inapokea walioshindikana huko kwenu Milembe
DAR inaongoza kwa magonjwa ya akili,ya pili Mwanza alafu Rukwa,sisi kazi yetu kuwahudumia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
DAR inaongoza kwa magonjwa ya akili,ya pili Mwanza alafu Rukwa,sisi kazi yetu kuwahudumia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyie mnaolala na mifugo yenu ndo mmeambukizwa magonjwa hayo kisha mnayaleta Dar maana kila siku mnashindana kushuka Ubungo Bus Terminal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom