ninapokaa mimi ndo anakaa WAZIRI MKUU yaan anapitia kwetu,sasa wewe unayekaa karibu SIKOPIONI shauri yakoKwani nyie mapori yenu huko mnakoishi na nyani mliyaona lini?
kwiii kwiiiUbongo wa nyati
Mkiweka kuleta bahari ndo tutakuja kufuata SEA BREEZEninapokaa mimi ndo anakaa WAZIRI MKUU yaan anapitia kwetu,sasa wewe unayekaa karibu SIKOPIONI shauri yako

ila wagonjwa wanatoka DASLAAMMkiweka kuleta bahari ndo tutakuja kufuata SEA BREEZE
MKoa wa kibush huo ndio maana kuna hospital I ya MILEMBE
Haikujengwa kwa bahati mbaya
![]()
![]()
![]()
tehe...tehe.... sijatukana ndugu yangu ila tu nimesahau nimesema ukweli ukauma poleni haya wacha sisi tuchunge mbuzi tuwaletee gaut mjiniHuo ni mtazamo wako
Hapo tupo kiutani tu hata ukifuatilia mabishano yetu utagundua tunatambiana kiutani siyo kutukanana
Mjini kuna vidume huko kwao kuna vibeberu.Wachafu km mifugo yao
Ukisafuri ukikaa siti moja na mporipori km Kipepe safari inakuwa ndefu
![]()
![]()
![]()

Sijasema umetukana bali "tunataniana hatutukanani"tehe...tehe.... sijatukana ndugu yangu ila tu nimesahau nimesema ukweli ukauma poleni haya wacha sisi tuchunge mbuzi tuwaletee gaut mjini
unataka useme mkuu nae hivyohovyo??Wachafu km mifugo yao
Ukisafuri ukikaa siti moja na mporipori km Kipepe safari inakuwa ndefu
![]()
![]()
![]()
ivi si ndo nyie mnaolima matembele kwenye mitaro ya vyoo?????Sijasema umetukana bali "tunataniana hatutukanani"
Joto City ndo mpango
Endeleeni kupalilia mipapai
wanaongoza kuumwa 'akili' ni wa DAR kwiii kwiiiiiImejengwa ili iwasaidie kuondoa akili zenu za kishamba
Nasikia mna ubongo wa nyati ndio maana ni wabishi km ng'ombe
Smartphone kaijulia Joto City.We unadhani kwa nini aliomba msaada kwa Gabriel aje ku-attack social network?Alijuaje?unataka useme mkuu nae hivyohovyo??