Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 738
- 1,439
- Thread starter
- #141
Sawa mkuu nimekielewaBakia na harufu yako. Ila usiwe unabwabwaja ukiachwa.
Sawa mkuu nimekielewaBakia na harufu yako. Ila usiwe unabwabwaja ukiachwa.
Si kweliDont be desperate for the name of Ndoa kama umepangiwa Ndoa utaipata tu..mda wako haujafika
Endelea kujitunza..kujipenda..kujithamini na kujiheshimu
Your future hubby is somewhere searching for you..Relax and keep calm
Hapa ndo nimegundua uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, samahani lakini mkuuKama genye watu wa kuzitoa zipo.
Halafu unaweza ukakosa ndoa ila mtu wa kutoana genye na kukutoa upweke akawepo.
Yes wapo hohehahe wenye furaha bila stress mpaka pale watakapopoyeza mtoto/mwenza kwa kukosa 500k tu ya matibabu au pale watakapotaman watoto wapate elimu bora ila uwezo hawana.
Asante kwa ushauri dear.Sasa si utulie tu mama tafuta kidogodogo tu cha emergency..lea watt wako tu. Ndoa huja bila hodi haitafutwi otherwise utaangukia pua
Mtu kashaamua kua waachane that means alishamake up his decision na alishajipanga..kuendelea kujilazimisha ni kumkosea heshima uyo mwenzaMuda mwingine mwanamme huwa tunamkataa mwanamke kumpima kama ataondoka ama atabaki.
Kuondoka kwako kunaonesha wewe ni mjeuri na una backup. Angekuoa ungemtesa na ungemkimbia tuu. Hufai kuwa mke.
Mdanganyeni tuPole sana i feel what you went through .
Relax good time is there
Usiforce mapenzi tulia muda ni mwalimu mzuri.
Sawa mkuu😂Asante kwa darsa mkuu, sasa ebu fanya uchek PM...😋
Poleeeeee 😀😀Weeeh!
NIMEKOMA.!
Kudanganywa mwisho kwa Tolu.
Sasa dear Eve uniachie enjoyments wewe huzitak?Nasaini mkataba chap nabeba magauni yangu na mafuta na mswaki namuacha tajiri ainjoi 🤣🤣🤣
Huyu mwanamke jeuriNaona Tolu kakuacha. Alikupa sababu zipi alipokuambia it's over?
Mtu unaweza ukabishana hapa watu wakikutuhumu kwamba wewe ni muumini wa Feminism ila maandiko yako ya Mwanzo yanasadiki imani yako.
Kuandika tu unaweza kutoa hela upewe Mwanaume na idadi kubwa ya wanawake, ni kuonyesha kuwa, kwako pesa ina thamani kubwa sana kuliko utu (uanaume).
Kumuambia Shoga yako kuwa ingelikuwa si mama anaumwa usingemsaidia na badala yake angetumia Cheti cha Ndoa kufanya matibabu ni kuonyesha kuwa ndoa haina thamani kwako.
Hata ukija na majibu tofauti katika swali langu la mwanzoni, ukweli ni kuwa Tolu kakuacha kwa sababu yaa dharau zako za kuwa na pesa,Ukaidi na kujiona.
Badilika.
Baki na utolu wako.Njoo nikupe Mimi , hata Mimi ni tolu Fulani hivi
Oooh karibu sana pm karibu I love you, yani nakupenda wewe na huyo bwana ako 🤣🤣🤣Sasa dear Eve uniachie enjoyments wewe huzitak?
Anyway,Nakuja DM tuongee vzr coz hata gar mtu akiuza hakwambii matatizo yake utaona analisifia tu.,😊
Aisee mkuu ni una hekima hadi basi.Tafuta pesa, mtafute Mungu, tafuta kufanya kile unachokisikia kwenye moyo wako duniani na mwanaume wa kukufaa kama yupo atakuja wala hutomwomba.... ati akuoe🤣
Halafu...... hivi watu walishawahi kukaa wakajiuliza duniani walikuja kufanya nini?
Mtu atakuambia kama huna ndoa pambana walau uwe na mtoto😅
Kina Ibrahimu na wengine wengi hawakupata watoto hadi uzeeni na waliishi....na walipokuja kuzaa walizaa WAFALME na MANABII, wewe unataka watoto bila hata kujiuliza huyo utakayemzaa atakua mtoto wa aina gani😅 matokeo ndio tunaleta hawa wa "kataandoa" na mambo mengine mengi.....
Maana ndoa ni maamuzi yako tuu ila ukishindwa kutumia karama na vipawa Mungu alivyokupa kufanya anayotakiwa kufanya duniani utaulizwaga siku moja