Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 738
- 1,439
Salaam.
October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.
Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.
Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.
Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.
Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.
Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;
Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.
Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.
Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.
Shost:Jifariji huna namna!
Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?
Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?
Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!
Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?
Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!
Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!
Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.
Mimiole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?
Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.
Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!
Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.
Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?
Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.
HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!
TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,😀
dronedrake Liverpool VPN
October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.
Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.
Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.
Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.
Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.
Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;
Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.
Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.
Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.
Shost:Jifariji huna namna!
Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?
Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?
Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!
Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?
Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!
Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!
Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.
Mimiole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?
Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.
Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!
Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.
Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?
Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.
HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!
TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,😀
dronedrake Liverpool VPN