kwa jibu hili nimegundua we ni wifely material..unafaa kuwa ubavu atii!!
So far akikukuta unakuna nazi , nae amalizie kizio ?
kwa jibu hili nimegundua we ni wifely material..unafaa kuwa ubavu atii!!
Me nikimpata mume kama huyo,
Namuendea Bagamoyo kabisa ili 'asizinduke' milele.
Hahahahahaha
naniliu!
Dah kumbe ni bora kuwa likorofi tu full ulabu.....!!
Me nikimpata mume kama huyo,
Namuendea Bagamoyo kabisa ili 'asizinduke' milele.