nitampaaaaa nitampaaaa nitampaaaaaaaaaaaa
View attachment 65977
Mumeo akiwa wa namna hii utajisikiaje/jihisije/chukuliaje.......?
Saa kumi "10" akitoka jobni moja kwa moja home.....!!!
Hata overtime hatiki............!!
Dah ntajiöna mwenye bahati na ntaongeza mapenzi maradufu
Nini hicho utakachompa?
Atampa 3 times!
Nini hicho utakachompa?
Dah ntajiöna mwenye bahati na ntaongeza mapenzi maradufu
naniliu!
sasa ole wako pale atakapompata mdigo wa huko kwenu, yeye ndio awe anabebwa na kuogeshwa na maji ya mdalasini+hiliki....utajutaje!!!
Yaani unafurahia kua na mume "Hantobo" as knows "Bwegemtozeni" sometimes we called "Bwegenazi"
hapana awe anarudi mapema akikuta nawajibika anapoweza anasaidia
hapana awe anarudi mapema akikuta nawajibika anapoweza anasaidia