Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Wanawake bana tukisema ni chombo cha starehe hawataki wakidhani ni dharau.....
labda tutumie lugha ngumu....
ni chombo cha kukitumikisha....
 
Kuwa na wake wengi inaruhusiwa lakini Kuna masharti si Kama wewe unavyosema kuwa eti mwanamke ni chombo Cha starehe huo ni wewe wasema.yule ni binadamu Kama wewe na hayo yametoka wapi.kila kinachofanywa Kati ya mme na mke kiwe tofauti na kinacho fanywa Kati ya mwanamke na mwanaume maana mme na mke ni upendo c starehe Kama unavyodhani,ktk upendo Kuna Mungu lakini ktk starehe hata shetani anaweza kuwepo maana si lazima kuwepo upendo.Inaonyesha wewe ni mnyanyasaji wa wanawake ,mwanamke akuzae wewe Leo awe wa starehe badala ya kumuheshimu na kumuenzi.asante Mungu kwa kumuumba mwanake na ukombozi kupitia kwake.AMINA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kuwa na wake wengi inaruhusiwa lakini Kuna masharti si Kama wewe unavyosema kuwa eti mwanamke ni chombo Cha starehe huo ni wewe wasema.yule ni binadamu Kama wewe na hayo yametoka wapi.kila kinachofanywa Kati ya mme na mke kiwe tofauti na kinacho fanywa Kati ya mwanamke na mwanaume maana mme na mke ni upendo c starehe Kama unavyodhani,ktk upendo Kuna Mungu lakini ktk starehe hata shetani anaweza kuwepo maana si lazima kuwepo upendo.Inaonyesha wewe ni mnyanyasaji wa wanawake ,mwanamke akuzae wewe Leo awe wa starehe badala ya kumuheshimu na kumuenzi.asante Mungu kwa kumuumba mwanake na ukombozi kupitia kwake.AMINA

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi imeandikwa kuwa neno starehe lina utesaji ndani yake ?

Nikisema nastarehe na mke wangu ina maana namaanisha namtesa na kumnyanyasa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake bana tukisema ni chombo cha starehe hawataki wakidhani ni dharau.....
labda tutumie lugha ngumu....
ni chombo cha kukitumikisha....
Tatizo kuna chuki zilipandikizwa juu ya hili neno "chombo cha starehe" kuna watu walikuwa wanatumia hili neno kwa lengo la kukebehi,kwa hyo na mimi nikisema hivi naonrkana nakebrhi na kumshusha mwanamke.

Ila ukisema kuwa nimepata jiko,nimepata chuma ccha hatari,nimepata chombo balaa haya yote hayaonekani kumshusha manamke kwa sababu hakuna alietumia maneno hayo kukashifu na kukebehi.

Ila ukweli ni kuwa mwanamke tunamsifia kwa sifa mbalimbali ikiwemo jiko,chombo,chuma,mtoto wa ukweli n.k


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kusema tu kwa uwazi
Uislam haujamkandamiza kabisa Mwanamke,Bali umempa utukufu na haki timilifu
Dini zote na Mila zinamkandamiza mwanamke, tena bora hata huo uislamu umempa heshima mwanamke, labda na wewe useme uikristo umempa heshima ipi mwanamke?
Msiwe wepesi wa kushambulia imani za wengine kwa hisia zenu binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibilia inasema katika kitabu cha Mwanzo

Kua Mungu baada ya kumuumba mwanaume aliona haitoshi akaamua amfanyie msaidizi ambaye ndiye mwanamke.. Kwa maana hiyo

Mwanamke ni msaidizi, mama zetu waliotuzaa ni wasaidizi wa baba zetu, hao wanawake malaya wote unaowasema kujiuza kwao hakumaanishi kua ni chombo cha starehe, angalia sababu ya kujiuza kwao ni nini? Sababu ni kwamba wanajiuza ili wapate pesa na kutatua shida zao, ila hawajiuzi kwa lengo la kumfurahisha mwanaume.. Ndio maana wakizinguliwa kwenye malipo hua wanaanzisha vurugu.

Siwasemi kwa ubaya ila dhana ya kwamba mwanamke ni chombo cha starehe imeenea sana urabauni na pia katika jamii zetu za kiafrika.. Ulaya dhana kama hizi huwezi kuzisikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akhuy
Jaribu kuelewa maandiko matakatifu

Lau Mtume wa Allah angesema hili tu kuhusu Mwanamke,Basi ungefaa kusema na kumaliza

Lkn
Mwanamke ametajwa kwa meengi juu ya ubora wake.
Nataraji utakuwa umeelewa Bro
Shukran
وبارك الله فيك
Alaaa ?

Mtume wa Allah anasema

"Dunia ni starehe na bora ya starehe ni mwanamke. Mwema "

Kwa nini hapa starehe ya dunia bwana Mtume kaiambatanisha na mwanamke ?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaninasiyekuwa mkeo si atakuwa mke wa mwingine na atampa starehe mtu mwingine na huyo Mtu atasema mke wangu nastarehe nae.

Sasa hapo si yule yule mwanamke au wewe ulielewa vipi uzi wangu ?

Uzi wangu unamgusa mwanamke,haina maana hata mama yangu nistarehe nae,mama yangu atastarehe na baba yangu.
Mimi nitastarehe na mke wangu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo kauli ya kusema mwanamke ni chombo cha starehe sio mutwlaq kwa kila mwanaume kuisema kama ulivyo iwasilisha,bali itakuwa kwa yule mwanamke unayeweza kumoa tu.

Na ndio maana umesema huwezi kustarehe na mama yako Bali atastarehe na baba yako,kwa hiyo ni starehe kwa baba yako na sio kwako ingawaje na yeye ni mwanamke.

Na hivyo hivyo kwa wanawake wengine ambao ni mahrim zako.

Hivyo kauli yako hii sio mutwlaq kwa kusema mwanamke Bali ni mke.
 
Akhuy
Jaribu kuelewa maandiko matakatifu

Lau Mtume wa Allah angesema hili tu kuhusu Mwanamke,Basi ungefaa kusema na kumaliza

Lkn
Mwanamke ametajwa kwa meengi juu ya ubora wake.
Nataraji utakuwa umeelewa Bro
Shukran
وبارك الله فيك

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nauliza ni kwa mujibu wa marejeo gani ukimnasibisha mwanamke na starehe basi neno starehe lina maana ya kuwa kumkandamiza mwanamke ama kumshusha hadhi na kumnyima haki yake ?

Au kosa langu kutumia neno chombo,kama ni hivyo je kutumia neno jiko na chuma cha ukweli ni fedheha ama sifa ?

Au kosa langu kutumia neno starehe ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nanyi mwakubali kua ni chombo cha starehe
Anaongea kujifurahisha tu na haikatazwi 🤣🤣
Ukweli kila mtu anaujua kubishana haina haja, ila wa hivi ni watamu sana huwa wanalialia kifuani, ooh usiniacheee nakupenda sanaaa, ukiniacha ntakufaaa🤷🏼‍♀️
 
Tatizo nauliza ni kwa mujibu wa marejeo gani ukimnasibisha mwanamke na starehe basi neno starehe lina maana ya kuwa kumkandamiza mwanamke ama kumshusha hadhi na kumnyima haki yake ?

Au kosa langu kutumia neno chombo,kama ni hivyo je kutumia neno jiko na chuma cha ukweli ni fedheha ama sifa ?

Au kosa langu kutumia neno starehe ?



Sent using Jamii Forums mobile app
Huwenda ulicho kisema kina ukweli ndani yake lakini bado hii kauli inaukakasi.

Yaani ukisema mwanamke ni chombo cha starehe kana kwamba hana kazi nyingine ila kukustarehesha wewe tu.

Kwani mkeo huwa hana lingine analo lifanya katika masaa ishirni na nne ila kukustarehesha wewe tu?
 
Kaka nipo pamoja na ww, kwanza naomba waelewa tunaposema wanawake tunamaanisha wote ata wale ambao wametuzaa, kumbuka ni ktk pilika na harakat za mdingi kustarehe kwa mama ndio nikapatikana, kwahyo ukweli uko pale pale kuwa wanawake ni chombo Cha starehe, na kuhusu suala wanalopambania la haki sawa kwa wote kwangu mm ni mbinu za kuharibu kizaz maana women are destroyers
Tatizo nauliza ni kwa mujibu wa marejeo gani ukimnasibisha mwanamke na starehe basi neno starehe lina maana ya kuwa kumkandamiza mwanamke ama kumshusha hadhi na kumnyima haki yake ?

Au kosa langu kutumia neno chombo,kama ni hivyo je kutumia neno jiko na chuma cha ukweli ni fedheha ama sifa ?

Au kosa langu kutumia neno starehe ?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom