safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,314
- 18,146
- Thread starter
- #181
Hiyo kana kwamba hana kazi nyingine nimeisema wapi ?Huwenda ulicho kisema kina ukweli ndani yake lakini bado hii kauli inaukakasi.
Yaani ukisema mwanamke ni chombo cha starehe kana kwamba hana kazi nyingine ila kukustarehesha wewe tu.
Kwani mkeo huwa hana lingine analo lifanya katika masaa ishirni na nne ila kukustarehesha wewe tu?
Ikiwa maana ya starehe ni kuwa hana kazi nyingine maana hiyo ni kwa mujibu wa nani ?
Mtume alisema kuwa starehe ya dunia ni mke mwema,je hapa mtume alimaanisha kuwa mwanamke mwema hana kazi nyingine zaidi ya kustarehe na mumewe ?
Unasema ina ukakasi na mimi nimetolea maelezo bado una maelezo yako mfukoni mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app