Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Nafahamu kutatokwa povu kubwa sana na wwtu lakini ukweli huu acha tuubainishe.

Manamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya yetu ili tustarehe nao.mwanamke hakuumbwa ili aje atupe shida na dhiki bali atupe raha na furaha.

Ndio maana leo kuna makahaba wale lengo lao sio kuwapa dhiki wanaume bali kuwapa raha na starehe wanaume.

Ndio maana kuna mahari yanatoka ambayo hata mama wa mwanamke haruhusiwi kuichukua kwa nguvu kwa sababu yeye alishakula mahari yake kwa mumewee.

Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?

Mfano gari na watoto ni vitu vinatupa starehe na furaha kwetu kwa hiyo kama ambavyo unaruhusiwa kuwa na watoto na magari mengi basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na wake wengi.

Kama ambavyo unaruhusiwa kula machungwa zaidi ya moja kwa sababu linakupa raha basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mwanamke ni chombo cha kuitustarehesha na kutupa raha na wala sio chombo cha kutuudhi na kutupa dhiki.



Sent using Jamii Forums mobile app

Na kuanzia leo mtuite chombo au vyombo!
 
Nami nimegundua..waleee!...hakuna dini inayowadharau wanawake km waislam sijui kwann!
Dini zote na Mila zinamkandamiza mwanamke, tena bora hata huo uislamu umempa heshima mwanamke, labda na wewe useme uikristo umempa heshima ipi mwanamke?
Msiwe wepesi wa kushambulia imani za wengine kwa hisia zenu binafsi.
 
Japo sijasoma yote ila heading inatosha kukujibu, Umeongelea wanawake unaokutana nao tu barabara au hadi wazazi wako, dada zako na ndugu zako wa kike pia umewajumuisha pamoja. Before ujatumia neno wanawake jaribu kufikiria kwamba hao hao ndo muunganiko wa mama zetu, dada zetu pamoja na ndugu zetu wadada na wamama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Linaweza kuwa litoto la mitaani, halina A wala B
 
Dini zote na Mila zinamkandamiza mwanamke, tena bora hata huo uislamu umempa heshima mwanamke, labda na wewe useme uikristo umempa heshima ipi mwanamke?
Msiwe wepesi wa kushambulia imani za wengine kwa hisia zenu binafsi.


Hatubishani kutafuta mshindi..naona uvivu kuandika ..ila najua hivyo!
 
Ni hapo usoni,alivyocheka na style ya nywele,halafu mie sio mnene mnene kama wa hapo kwa avatar 😅😅

Nguo nayo hapana,naonaga aibu eti kuvaa hivyo...sijui ndio ushamba huu 😂😂😂

🤣🤣🤣....pole...yes kila mtu ana swag zake...ni km mimi nisivyoweza vaa taiti na top...!
 
Hatubishani kutafuta mshindi..naona uvivu kuandika ..ila najua hivyo!
Hakuna mabishano ila wewe ndie umeyaleta, Ungejitetea kwa hoja zako na sio kushambulia imani za wengine,
Uislam na Uikristo kwa Tanzania ni ndugu sababu hakuna ukoo wa kiislam ukakosa waikristo na hakuna ukoo wa kiikristo ukakosa waislam sasa kutafuta bifu mtandaoni zisizo na tija ni unafki.
 
🤣unajielewa mwenyew akili zako mkuu lols
Mkuu huo ndiyo ukweli, Mimi huwa nataka zote zimwagikie ndani, sipendi mwanamke nimemaliza tu kumwaga halafu anaenda kunawa na kujifuta au zinamwagikia nje, hata mtu akitokea ghfla halafu anitoe sitoki mpaka nimwagie ndani
 
Hakuna mabishano ila wewe ndie umeyaleta, Ungejitetea kwa hoja zako na sio kushambulia imani za wengine,
Uislam na Uikristo kwa Tanzania ni ndugu sababu hakuna ukoo wa kiislam ukakosa waikristo na hakuna ukoo wa kiikristo ukakosa waislam sasa kutafuta bifu mtandaoni zisizo na tija ni unafki.


🙌🙌naona unatekelez mawaidha kuitetea dini yenu ipasavyo .all the best!
 
Nafahamu kutatokwa povu kubwa sana na wwtu lakini ukweli huu acha tuubainishe.

Manamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya yetu ili tustarehe nao.mwanamke hakuumbwa ili aje atupe shida na dhiki bali atupe raha na furaha.

Ndio maana leo kuna makahaba wale lengo lao sio kuwapa dhiki wanaume bali kuwapa raha na starehe wanaume.

Ndio maana kuna mahari yanatoka ambayo hata mama wa mwanamke haruhusiwi kuichukua kwa nguvu kwa sababu yeye alishakula mahari yake kwa mumewee.

Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?

Mfano gari na watoto ni vitu vinatupa starehe na furaha kwetu kwa hiyo kama ambavyo unaruhusiwa kuwa na watoto na magari mengi basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na wake wengi.

Kama ambavyo unaruhusiwa kula machungwa zaidi ya moja kwa sababu linakupa raha basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mwanamke ni chombo cha kuitustarehesha na kutupa raha na wala sio chombo cha kutuudhi na kutupa dhiki.



Sent using Jamii Forums mobile app
andiko hili linautweza utu wa mwanamke! Naomba lifutwe haraka iwezekanavyo!
 
Back
Top Bottom