Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Mtag
FaizaFoxy njoo haraka iwezekanavyo kuna mada inahitaji Ushauri wako.
FaizaFoxy njoo haraka iwezekanavyo kuna mada inahitaji Ushauri wako.
Vitabu vyetu vitakatifu vinabainisha hoja yako mkuu..mfano kimoja kuna mahali kinasema Adamu alionekana mpweke ndipo aliumbwa yule mwanamke kwa ubavu wake..Aliumbwa Mwanamke kwa tafsiri ya kumstarehesha mwanaume...Angeumbwa Mwanaume mwingine bado wote wangekuwa wapweke...Au siyo Mzee Baba...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana naona umeamua kubishana kwenye hamna.
Ubaya wa maana huendana na munasaba. Iko hivi kwa ujumla wa maana na tukienda mbali zaidi, hapo umesifia kimaana tu ila kiuhalisia hamna maana, huo ni upande chanya.
Lakini, tamko hilo hilo umelitumia vinaya kwa munasaba hasi, na hicho ni kitendi cha dhulma na udhalilishaji na hakina uhalisia vile vile.
Lakini, ajabu hujaona tofauti kati ya matumizi ya hizo kauli zako mbili, kisha unanitaka mimi niwe muelewa wakati wewe hata ulicho kiandika unashindwa kukimaizi. Hii ajabu huwa naiona humu jf.
Hakuna kitu ambacho hakiendi bila ya lugha, na maana ya kisheria ndio huwa ina nguvu sana kuliko maana ya kilugha.
Huu uzi unaweza kuwa ni wa hovyo kuliko zote tokea mwaka huu uanze
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona dunia ya sasa wapo wanaume wengi wanaojiuza kwa wanawake ili wapate hela ?? Au mmeshakariri kwamba mtu kujiuza ni hadi ajipange barabarani ??
Hawajielewi mkuu.Sasa mbona wanaume wengi wanalalamika kuwa wanawake wanapenda pesa ?? Unaelewa maana ya kuhudumia kiroho safi ??
Mmh namhurumia gf/mke wako. Mwanaume mwenye mtazamo wa hiv ni hatari kwa afya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe ungekuwa ndo umenioa mimi alafu unitolee shobo za namna hii alafu bahati mbaya uwe HOHEHAHE!..ungehama mji!
Sasa mbona una mke mmoja while hapo umesema mmoja hatosheleziMimi nimeoa na nina mke tunafurahia maisha.
Na nina imani namuhitajia yeye kuliko anavyoniitajia yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni binti, dada, mke, mama, shangazi... na sio chombo cha starehe mkuuMkuu hutaki kushika nyadhifa yako.
Wewe ni kiungo muhimu katika kutustarehesha wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh wapi nimesema kuwa mmoja hatoshelezi mkuu.?
Sio chombo cha starehe peke yake.hiyo ni katika nyadhifa zako lakini una majukumu mengine pia kama vile kuzaa n.kMimi ni binti, dada, mke, mama, shangazi... na sio chombo cha starehe mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nanukuu "Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.Duh wapi nimesema kuwa mmoja hatoshelezi mkuu.?
Nisome vzuri maelezo yangu bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nanukuu "Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?"
Sent using Jamii Forums mobile app
Good kama unalitambua hiloSio chombo cha starehe peke yake.hiyo ni katika nyadhifa zako lakini una majukumu mengine pia kama vile kuzaa n.k
Wanawake wapo imara sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
