Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Ndo ukweli huo hajampenda. Mkuu mi nakwambia wanawake sisi akili zetu tunazijua wenyewe, akikupenda sana ww ata usipomuhonga sawa tu kwake, anaweza ata akajilipia mahari ili tu aolewe na wewe,na anaweza ata akaiba pesa kwa baba ake ili tu akupe ww kwasbb ya upendo tu. Anaweza beba chakula kwa poti kutoka mbezi mpk tandale ili tu akuletee chakula ule, usicheze na mtu anayeitwa mwanamke ndg yng. Ukiona anakukashfu kwa maneno machungu ujue kuwa huyo hakupendi narudia tena hakupendi bali anapenda kitu fulani toka kwako,ata ukiondoka haoni tabu wala kuhs amepungukiwa na kitu. Dah!! Wanawake sisi mpk tunajiogopa ahahaha
Una busara sana Pujo
 
Kuhudumia mwanamke ni kawaida mana ndy nature, ipo tangu zamani mwanamke ni mama wa nymbn na mwanaume ndy mtafutaji. Lkn kuna kutofautiana wngne ni magold digger pesa anazokuomba ni mfululizo hazina idadi wala hupumui ata punje na usipompa bs anakasirika na mpnz hamna tena. Bs ujue apo hkn upendo bli anapenda pesa zako na siku ukikosa ndpo utajua rangi yake. Kuna kipimo
 
Tangu nilipotoswa na manzi wangu niliyekuwa nategemea kumuoa akili ilivurugika maana alianza visa mpaka ila kibishi nilizidi kumganda siku moja akanitumia text Tafuta hela kwanza using'ang'anie wanawake wazuri na hela huna.

Nilihuzunika aisee ila siku moja nikakumbuka vitabu vyangu vya kisw mwanamke amechorwa km chombo cha starehe nikajisemea ndomaana.

Ajabu nilianza kuamini kabisa usemi huo na machungu yangu yakaanza kupoa nikawaza tuu km ni chombo cha starehe hakiwezi kutoa huduma bila gharama,na kweli haiwezekani kwenda bar ukalewa bure,haiwezekani kwenda club bila hela haiwezekani kuangalia chaneli za Tv bila kulipia kweli nitafute hela nikirudishe chombo changu cha starehe niendelee kula burudani.
Ndo maana wanawake kiasili wameumbwahivyo kutoa starehe majukumu mengine nadhani wanabebeshwa tuu,na ni kweli ukiwa na hela hakuna mwanamke anaweza kukukataa.
Mondi anawazalisha anawaacha wanasema anauzalilishaji wa kijinsia lakini wakati huohuo kila mwanamke anaomba ampate Domo.

Nilichojifunza ukiwachukulia wanawake kama vyombo vya starehe utaishi bila stress,maana ukiachwa utatafuta chombo kingine maisha yanaendelea achana na mambo ya kununua gunia mbili za mkaa huko ni kukosa maarifa ya kuishi na wanawake .wao waliumbwa kwa ajili ya kumfariji mwanaume kwa starehe na kuendeleza kizazi cha mwanaume.
Usihangaike kumfanya mwanamke awe suppotive kwny maisha yako kiuchumi utakuwa dissapointed sana don't take them too serious hutajutia
Watumie tuu kama mfalme selemani alimiliki wanawake 700 pamoja na kuwa na hekima zote zile mimi ni nani sasa nimchukulie mwanamke tofauti .
King mswati anaingeza vyombo vipya kila mwaka mimi ni nani?
Cha msingi uweze kulipia gharama zao tuu wanapatikana na mimi nimdjifunza kutowachukulia serious kama zamani mpk nakuwa na stress.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshapata hizo hela au umeishia tu kuwachukulia kama chombo cha starehe halafu unawala kwa macho
 
Kweli kabisa mkuu, nashangaa mwanamme analalamika kumuhudumia mwanamke wake kweli?, je km yupo mpnz tu hataki kumuhudumia akiwa mke ndy ataweza kumuhudumia?
Yaani mpenzi unataka kuhudumiwa kama mke wa ndoa.

Si ajabu wengi wanaliwa kimasihara kwa kuendekeza uyatima.

Kama na wewe unafanya hiyo biashara nakushauri uiache mara moja.

Mpenzi ni mpenzi na mke ni mke. Wawili hawa hawawezi kufanana hata kidogo
 
Yaani mpenzi unataka kuhudumiwa kama mke wa ndoa.

Si ajabu wengi wanaliwa kimasihara kwa kuendekeza uyatima.

Kama na wewe unafanya hiyo biashara nakushauri uiache mara moja.

Mpenzi ni mpenzi na mke ni mke. Wawili hawa hawawezi kufanana hata kidogo
Sidhani kama umeelewa nilichokimaanisha. Fuatilia comments vizuri uone ni kitu gani tulichokuwa tunakiongelea na huyo mkuu. Usijibu tu bila kuelewa.
 
Yaani mpenzi unataka kuhudumiwa kama mke wa ndoa.

Si ajabu wengi wanaliwa kimasihara kwa kuendekeza uyatima.

Kama na wewe unafanya hiyo biashara nakushauri uiache mara moja.

Mpenzi ni mpenzi na mke ni mke. Wawili hawa hawawezi kufanana hata kidogo
Kama kuhudumia mpnz ambaye anahtj kuhudumiwa kdg tu lkn mtu analalamika, je akiwa mke ambaye anahitaji huduma nyingi zaid km mke, na ana mambo meng ya familia ataweza?
 
Sidhani kama umeelewa nilichokimaanisha. Fuatilia comments vizuri uone ni kitu gani tulichokuwa tunakiongelea na huyo mkuu. Usijibu tu bila kuelewa.
Nimejibu kutokana na pale uliposema

Mwanaume anakuwaje na kazi lakini anashindwa kumnunulia mpenzi wake hata vocha tu.
 
Kama kuhudumia mpnz ambaye anahtj kuhudumiwa kdg tu lkn mtu analalamika, je akiwa mke ambaye anahitaji huduma nyingi zaid km mke, na ana mambo meng ya familia ataweza?
Kuhudumiwa kidogo ndio kupoje mkuu ?

Mimi naamini huduma ni huduma , hakuna kubwa wala ndogo
 
Ndo mana unaambiwa usijikweze, kama huna kazi sema sina kazi alafu mwanamke mwnyw ndiyo atajua kuwa akupende au lah.

Sasa hapo atakuwa ananipenda Mimi au kazi yangu?

Na nikifukuzwa kazi je?

Hivi kwa mwanamke kuna unconditional love kweli?
 
Back
Top Bottom