Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
unconditional love hata Ulaya haipo.Sasa hapo atakuwa ananipenda Mimi au kazi yangu?
Na nikifukuzwa kazi je?
Hivi kwa mwanamke kuna unconditional love kweli?
unconditional love hata Ulaya haipo.Sasa hapo atakuwa ananipenda Mimi au kazi yangu?
Na nikifukuzwa kazi je?
Hivi kwa mwanamke kuna unconditional love kweli?
Ahahahaha mkuu ukweli umuweka mtu huru. Hayo mengine muachie tu Mungu mana mapenz hayatabiriki siku zoteSasa hapo atakuwa ananipenda Mimi au kazi yangu?
Na nikifukuzwa kazi je?
Hivi kwa mwanamke kuna unconditional love kweli?
Kabisa Kabisa,Sina cha kuongeza!!Kweli kabisa, Mungu pekee ndiye mwenye kujua mtu sahihi kwako ni nani.
Unconditional love ipo kwa mwanamkeSasa hapo atakuwa ananipenda Mimi au kazi yangu?
Na nikifukuzwa kazi je?
Hivi kwa mwanamke kuna unconditional love kweli?
Ahahahah ya kweli hayo mkuu?unconditional love hata Ulaya haipo.
Kuna vocha za miezi. Achana na hivi vi vocha vya 1000 au 2000Ahahahah mkuu kwa hao wenye akili finyu lkn sio kwangu. Kisa vocha eti ndo unile.
Ahahahaha haitokei mkuuKuna vocha za miezi. Achana na hivi vi vocha vya 1000 au 2000
Unapigwa vocha ya 30 elfu,kwa nini usiliwe kimasihara ?
Sema kweli mkuu.Ahahahaha haitokei mkuu
Sema kweli mkuu.
siku hizi haki sawa 50/50Kweli kabisa mkuu, nashangaa mwanamme analalamika kumuhudumia mwanamke wake kweli?, je km yupo mpnz tu hataki kumuhudumia akiwa mke ndy ataweza kumuhudumia?
Kumbuka hata yule demu wako anaekupa stress na haendi bila chapaa akija kuzaa nae atakuwa mama
Naweza kusema angalau sasa niko sawa kwa kiasi changuUmeshapata hizo hela au umeishia tu kuwachukulia kama chombo cha starehe halafu unawala kwa macho
kutongoza atongoze mwenyewe na kuhonga juu sasa sijui msiba wa nini haaa haaa , maranyingi wanaume huanza wenyewe, sasa mwanamke akija huja na greda kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana
50/50 kwenye maandishi tu. Uhalisia haupo hivyo
Fafanua hujaeleweka mkuuThinking abt youuu.
NB
Not you mleta uzi
Sasa hapo atakuwa ananipenda Mimi au kazi yangu?
Na nikifukuzwa kazi je?
Hivi kwa mwanamke kuna unconditional love kweli?


