Christina George
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 673
- 784
Ni kweli madem wanaliwa sana ila wanawake wanaolewa na kutumikia dudu moja tuu.
Kweli kabisa, Mungu pekee ndiye mwenye kujua mtu sahihi kwako ni nani.Hapa nimekubaliana na wewe kabisa,,,
Mtihani unabaki kumpata mwanamke mwenye Mapenzi,
Mambo mengine si kwa akili zetu inabidi tumkabidhi Mungu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ujajibu swali
121.
Ahahahaahh dah, ata sijui tukimbilie wapi. Huu kweli ni mtihani. Ndo mana tunabakia tu kutangaza umu nahitaji mke, nahitaji mume.Ndio wanaume wengi wa siku hizi, tena mke asiwe na ka kazi kakuingiza miambili miambili basi ndio anachiwa kila kitu ajihudumie.
Elisha...huyo mwanamke unamlalamikia Sana... Ulitongoza mwenyewe ukahonga mwenyewe..lakini unalalama kila Siku. You may be finished with your past but the consequences if your past may not be finished with you.... Kama ulikua na cheti feki alafu ukahonga hela zote tukusaidiaje.
Sent using Jamii Forums mobile app



kutongoza atongoze mwenyewe na kuhonga juu sasa sijui msiba wa nini haaa haaa , maranyingi wanaume huanza wenyewe, sasa mwanamke akija huja na greda kabisalete ushahidiNaona vyombo vimekaa kimya,,
Lakini hata maandiko yanathibitisha Hilo.
toa mifano miwili ya huo ushenziMnavyowananga wanawake kama vile nyinyi ni malaika wakati nyie ndo washenzi hamfai kwa kupikwa wala kulumangia pumbavu zenu
Mungu alipomuumba Adam hakumwambia nenda kazae na uongezeke, neno hili aliwambia alipomuumba Eve, hawajui bila wanawake hakuna maisha hapa dunianiWatu huwa mnaongea bila kufikiri kuwa hao hao wanawake ndio mama zenu, mabinti zenu, dada zenu, shangazi zenu, ndugu na jamaa zenu.
kwani hao wanawake wanazaa na wanawake wenzao?Mungu alipomuumba Adam hakumwambia nenda kazae na uongezeke, neno hili aliwambia alipomuumba Eve, hawajui bila wanawake hakuna maisha hapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa na mke anahudumia michepuko huko anajimwambafyKweli kabisa mkuu, nashangaa mwanamme analalamika kumuhudumia mwanamke wake kweli?, je km yupo mpnz tu hataki kumuhudumia akiwa mke ndy ataweza kumuhudumia?
Ndio wanaume wengi wa siku hizi, tena mke asiwe na ka kazi kakuingiza miambili miambili basi ndio anachiwa kila kitu ajihudumie.
Ahahahaha anajionyesha kuwa ana mijihela na anajua kutunza. Kumbe mkewe anajihudumia mwnyw uko.
Apo ndiyo unajiona mjanjaaaaa kabisa mwnyewe. Loooh!!!Mwanaume ukitaka usiteseke na mapenzi usiwe unategemea demu mmoja...kuwa na mademu wawili au watatu ambao unajua wa kawaida ambao hawakuumizi kichwa yaani hupelekeshwi nao maana mwanamke akishajua unamnyenyekea lazima atakutesa tu so dawa nikumuonyesha kuwa wewe kwake ni wakawaida tu!
Unaweza ukawa huna pesa na ukaishi kiakili zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app