Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,572
- 2,821
Nashukuru mkuu kwa kuliona ilo jambo. Sie wanawake nakwambia ni watu wa ajabu. Tukipenda tunapenda vibaya mno.
Mkuu Pujo kwa kuwa uneongea na wewe ni mwanamke nakubaliana na maneno yako yako dhahili na hakika kabisa. Mwanamke anakupenda hata siku moja huwezi kusikia anakusonya, wala huwezi kuona anakukasirikia au kukukashifu kwa lolote. Siku zote anakuona wewe ndiye nguzo yake. Na huduma zote atakufanyia kwa upendo na hata ona kama ni kero. Hata sasa ukiona mwanamke anaona kero hata kukufulia nguo mwanamme wake. Basi ujue uliingia cha kike. Huna mpenzi hapo.
