Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Husika na kichwa hapo juu,
Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...
Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..
Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...
Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.
Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...
Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...
Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..
Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...
Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...
Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..
Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...
Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...
Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..
Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...
Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.
Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...
Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...
Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..
Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...
Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...
Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..
Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...
Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...