Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,515
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
 
Mm ni mzoefu wa maeneo yote ya pombe cause naingia bar mpaka kwenye mabanda ya pombe chafu. Nimeshuhudia mengi sana kuhusu wanawake walevi. Kusema kweli ukiwa na ke mlevi ni shidaaa wakilewa Huwa zinashuka chini kuliko me. Mm nimewakula sana walevi wa pombe chafu. Sometime unakuta huna hata ratuba ya kuruka nao Ila shobo zao ndo zinawaponza. Unakuta Bibi karewa anakwambia mjukuu wangu ninunulie Cha buku ukaniweke chooni NAMI ni kidume mbele ya mseleleko namnunulia naenda nae chooni namwinamisha namuwekelea mhogo wa kisuma. Yani wanawekwa sana kiukweli kina mama muuza nawapongeza sana ukiwa mteja mzuri mama muuza Yuko lazima akupe hata chumba Bure uloweke dudu. Mimi nmeloweka sana mungu mkubwa mpaka sasa Sina ngwengwe na mchezo huo nimeacha kabsa
 
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Mwanamke hanywi pombe,ukikuta anakunywa Hilo ni dubwasha tu...mwanamke unalewaje!?
 
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Sio wanawake tu hata wanaume
 
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Picha zao ziko wapi?
 
Back
Top Bottom