Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu

Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Ni fedheha na utovu wa maadili kupindukia.
 
Mm ni mzoefu wa maeneo yote ya pombe cause naingia bar mpaka kwenye mabanda ya pombe chafu. Nimeshuhudia mengi sana kuhusu wanawake walevi. Kusema kweli ukiwa na ke mlevi ni shidaaa wakilewa Huwa zinashuka chini kuliko me. Mm nimewakula sana walevi wa pombe chafu. Sometime unakuta huna hata ratuba ya kuruka nao Ila shobo zao ndo zinawaponza. Unakuta Bibi karewa anakwambia mjukuu wangu ninunulie Cha buku ukaniweke chooni NAMI ni kidume mbele ya mseleleko namnunulia naenda nae chooni namwinamisha namuwekelea mhogo wa kisuma. Yani wanawekwa sana kiukweli kina mama muuza nawapongeza sana ukiwa mteja mzuri mama muuza Yuko lazima akupe hata chumba Bure uloweke dudu. Mimi nmeloweka sana mungu mkubwa mpaka sasa Sina ngwengwe na mchezo huo nimeacha kabsa
Hahahaha, we utakua Baharia Toka Buza , unasababisha tu
 
Mi sioni tatizo kama anatoa na kuwaonesha. Sas kosa lake nini hapo mkuu?
Hata kulewa mchana sio tatizo, ila watu wivu tu unawasumbua, akifikiria yy anadaiwa vikoba sijui marejesho, anashangaa mdada mwenzake anakula bata tu ,😂😂😂

NB : usipende kufuatilia maisha ya mtu
 
Wanawake wanatia aibu sana. Mke wangu pia ni mlevi Kama mm sema nini akilewa ni shida siku hiyo..
1.lazima watoto washinde njaa labda wajiongeze wapike wenyewe wakiona muda unaenda uzuri hupenda kulewa home hivyo wakiona Hali sio wanajipikia
2.kukojoa kitandani akilewa ni kawaida. Bahati nzuri alishajitambua kwa Hilo akilewa analala chini.
3.akilewa lazima atuoshe kwa matusi tena ya nguoni si watoto si mimi mpaka mtaani hutukana mpaka majirani na wajumbe. Bahati nzuri walishamzoea hivyo humpuuza tu si unajua maisha ya uswazi kurindana kwingi.
4.lakini Huwa namfurahia zaidi akilewa maana hata zile Siri ambazo hatakagi hata mm nijue siku hiyo lazima anisimulie a to z. Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Wanawake wanatia aibu sana. Mke wangu pia ni mlevi Kama mm sema nini akilewa ni shida siku hiyo..
1.lazima watoto washinde njaa labda wajiongeze wapike wenyewe wakiona muda unaenda uzuri hupenda kulewa home hivyo wakiona Hali sio wanajipikia
2.kukojoa kitandani akilewa ni kawaida. Bahati nzuri alishajitambua kwa Hilo akilewa analala chini.
3.akilewa lazima atuoshe kwa matusi tena ya nguoni si watoto si mimi mpaka mtaani hutukana mpaka majirani na wajumbe. Bahati nzuri walishamzoea hivyo humpuuza tu si unajua maisha ya uswazi kurindana kwingi.
4.lakini Huwa namfurahia zaidi akilewa maana hata zile Siri ambazo hatakagi hata mm nijue siku hiyo lazima anisimulie a to z. Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Aisee!
Pombe haina siri inatoa ya moyoni...
 
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Mbona umeandika kimbea sana mzee baba

Siyo tabia ya kike hii?
 
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
Utakuta kijan anaoa Mwanamke mlevi aisee ni ujinga mnooo
 
Husika na kichwa hapo juu,

Leo nikiwa katika pitapita zangu huko Duniani nikapita kwenye duka Fulani...

Nikakuta kijiwe cha wanaume na wanawake wamejikalia kiholela..

Wanalewa sio kawaida huku mziki unapigwa mkubwaa...

Sasa kichonishangaza jua linawaka na ni mchana na mwanamke kalewa hatari.

Najua mnajua kulewa, mwanamke amelewa chakari yaani kisawasawa...

Mziki unaendelea mara ghafla naona mwanamke kasimama akaanza kucheza...

Yaani anakata mauno ni harari na nusu..
Mi nikaona aibu nikawa nimeingia mahali..

Ajabu akaanza kucheza kwa kuzidi kukata mauno akashika na mti...

Hapo wanawake wenzie wapo eti wanashangilia...

Tena kwa makelele na makofi juu, vicheko vya kilevi vikaendelea..

Sasa nikaondoka hapo kilichofuata ni kuliwa kimasihara...

Mwanamke kulewa kupitiliza ni aibu...
nishawahi ona mmoja, anajikojolea kabisa na majamaa yanadondosha udenda.
 
Back
Top Bottom