Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,626
- 29,797
HehehehWadau imenitokea nipo katika mahusiano na mwanamke mmoja tuna miezi miwili na mipango kadhaa tatizo lake hataki kunitumia picha zake Whatsapp wala kupiga picha na mimi anadai hana muda wa kupiga picha sina hata picha yake ukimuomba mpige picha anakuwa mkali japo huduma zote natoa hata akisuka vizuri ukiomba umpige picha au akutumie picha yake hataki
Muulize baba yako alitumiwa picha ngapi na mama yako wakati wa uchumba wao?