Mwanamke kucheka wakati wakufanya mapenzi

Mwanamke kucheka wakati wakufanya mapenzi

Usiogope..mbona wengne wanakuwa na ugonjwa wa ku-chekacheka wakikosa huduma kwa muda mrefu...

Kila mmoja na staili yake wkt wa kufika kilele cha kibo.. Wengine wanatukana matusi
 
Jamani wana jf jana nimekutana na mwamamke wakati tunafanya mapenzi huyo mdada alikua anacheka sana hapo alikua anamaanisha nini? Maana mi nilishazeoaga wadada wengi hupiga kelele sasa huyu wakucheka kaniacha hoi sana msaada plz kwa anaefaham mambo haya!

Hilo ni pepo lililoko ndani ya huyo mwanamke linafurahi wewe kuongeza raia wa jehanamu!
 
kaona unamtekenya tu na humkuni ili afike....wenzako wanakuna wewe unatekenya...
Jamani wana jf jana nimekutana na mwamamke wakati tunafanya mapenzi huyo mdada alikua anacheka sana hapo alikua anamaanisha nini? Maana mi nilishazeoaga wadada wengi hupiga kelele sasa huyu wakucheka kaniacha hoi sana msaada plz kwa anaefaham mambo haya!
 
endelea tu utakutana na wengine wanaobweka ka mbwa! ndo utakapoonaa maajab ya uzinz

Nafikiri huyu hajawahi kukutana na yule ambaye akikaribia kitandani kunakuwa ni uwanja wa ngumi kati mike tyson na floyd myweather
 
Kama humtaki huyo yupo wa kung'ata kabisa nikuunganishe nae?
 
Jamani wana jf jana nimekutana na mwamamke wakati tunafanya mapenzi huyo mdada alikua anacheka sana hapo alikua anamaanisha nini? Maana mi nilishazeoaga wadada wengi hupiga kelele sasa huyu wakucheka kaniacha hoi sana msaada plz kwa anaefaham mambo haya!
Sasa mbona hukumuuliza yeye? Yani umuache
yeye ambaye atakupa jibu la uhakika then uje kutuuliza sisi! huo si uonevu kwa wana-jf? Punguzeni uonevu aisee!
 
Hizi Threads Ni Vituko Alafu Zinajirudia Rudia Tu Mara Huyu Anajamba Tukido Mara Anakojoa Mara Anajinyea Hadi Kero Kweli JF ya sasa haina mvuto kabisaa
 
Hilo ni GHOST linaongea ndani ya mhusika.....

Ghost.jpg
 
wauume wanapokaribia kumwaga sumu huwa na sura za kutisha labda ulikuwa unafanana na kima kikongwe...

hapo huwa hamuonani sura kila mmoja analia kivyake !wengine wananguruma kama power tila.
 
Mapenzi ni siri ya chumbani.nyie hata mkijambiwa mnakuja kulia lia humu mnafikiri tutawasaifia? Sana sana tutashangaa tu ya dunia hii.wanaolia, wanaocheka ukioa halafu iwe uswahilini nyumba sio full ceilled! Mbona hutaona raha ya ndoa!
 
Huyomwanaumwenzako mpwa yanaitwa spiritual husband
 
Back
Top Bottom