vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 533
- 215
alikuona mzembe
Jamani wana jf jana nimekutana na mwamamke wakati tunafanya mapenzi huyo mdada alikua anacheka sana hapo alikua anamaanisha nini? Maana mi nilishazeoaga wadada wengi hupiga kelele sasa huyu wakucheka kaniacha hoi sana msaada plz kwa anaefaham mambo haya!
Sijambo laaziz, nimeumisi sana mwandiko wako PM kule.................hujambo wewe?
Sijambo laaziz, nimeumisi sana mwandiko wako PM kule......
Haya mdogo mdogo mabazazi yasituwekee uzibe..... Usisahau kuja without......:flypig:.....hahaa,poa twen' zetu!
Kila mtu na style yake ya kulifurahia hilo tendo. Mmezoea kusikia wanaolia tu, haya wengine wanacheka, wengine wanaunguruma na wengine wanaguna etc
Ni kweli kabisa mkuu! kila mtu ana mwondoko wake, ila mwisho wa yote inakua "Thanks"!
Sijui kama mdau aliambiwa asante au kiliishia kicheko....ukiona kicheko tuu ujue chenga hiyo mkuu!!!!
endelea tu utakutana na wengine wanaobweka ka mbwa! ndo utakapoonaa maajab ya uzinz
tutafungaje zipu wakati nyie mko after dolaz and pounds? mtagongeka tu na wanaume kibao mjini hapa!
mabadiliko kwenye mapenzi yataletwa na mwanamke tu!! sio mwanaume!!!
mwanaume ni mdhaifu always.. sawa binti mzuri ram?
Wanawake wa ki-Tutsi wao wanasonya tu mxiiii mxiii wakati wa majamboz! Aah! Rwanda!
Nimepita tu