Hata nie mnatakiwa mfunge zipu zenu, sio kufungua zipu hovyo ovyo tu
endelea tu utakutana na wengine wanaobweka ka mbwa! ndo utakapoonaa maajab ya uzinz
Basi huyo alikuwa weweAlisikia raha saanaa akajkuta anacheka.
Huwa hyo hali inanitokea najkuta tu nacheeeeekaaaa huku najckia raha
tutafungaje zipu wakati nyie mko after dolaz and pounds? mtagongeka tu na wanaume kibao mjini hapa!
mabadiliko kwenye mapenzi yataletwa na mwanamke tu!! sio mwanaume!!!
mwanaume ni mdhaifu always.. sawa binti mzuri ram?
endelea tu utakutana na wengine wanaobweka ka mbwa! ndo utakapoonaa maajab ya uzinz
endelea tu utakutana na wengine wanaobweka ka mbwa! ndo utakapoonaa maajab ya uzinz
Oh ! Dah ! Shiit !Hahaha kuwa makini, si kila dume unalijambia. Mengine mabasha ukiachia ushuzi yanachomeka kikojoleo chao kwenye kijambio chako. Si mimi lakini, nimewaskia vijana kijiweni.
Hivi anaeanza kumtongoza mwenzake ni nani?
Usijiangalie wewe kama wewe but angalia jamii kwa ujumla wake
bold.. kwa dunia ya sasa ram, mfumo wa utongozaji umebadilika sana! sio kama zamani kwamba mwanaume ndio alikuwa na jukumu la kumtongoza mwanamke, tena kwa lengo la kuoa sio kuchezea. enzi hizi, si mwanamke, si mwanaume, wote wawili ni waharibifu katika mahusiano!
mwanaume atatongoza kwa maneno na pesa zake, clearly by oral means..
mwanamke nae atatongoza kwa matendo yake atakayofanya kwa mwanaume, ikiwemo mitego mbalimbali ya kimavazi, vitendo atakavyofanya na hata ikiwezekana kutumia wanaume kwenda kufikisha ujumbe..
jamii ya sasa ram iko kisayansi na teknolojia... tulaumiane sote tu, wala si upande mmoja!