NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,398
- Thread starter
- #61
Inshallah mwenyezi mungu atakujaalia uolewe lov,au unachagua sanaaaaaaaaaa lol...Wenye ndoa wanazichezea tusiokua nazo tunazililia n kuomba salama tu
Inshallah mwenyezi mungu atakujaalia uolewe lov,au unachagua sanaaaaaaaaaa lol...Wenye ndoa wanazichezea tusiokua nazo tunazililia n kuomba salama tu
Oa tuu mkuu chukua hizi kama changamoto usiogope utaweza kuyakabili haya..hizi ndoa mbona hazina jema kila siku ni haya haya na bado wengine tunafikiria kuoa kwelii. hapa nishajiandaa kisaikolojia maana lolote linaweza kutokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa Dunia ya Sasa sihitaji bora mumeInshallah mwenyezi mungu atakujaalia uolewe lov,au unachagua sanaaaaaaaaaa lol...
Nimemwambia wewe umekhusu nini kwenda mpaka ukamjua huyo mtoto na kujitia tafran?madhali hajakwambiaIf only unakua unaachika Na huna watoto
Au maybe ana kabiashara kanakomtia jeuri ya kulea watoto
Kama ningekua mm ningesimamia mstakabali wa wanangu wapate good education ma mahitaji mengine Na kama baba anatimiza mahitaji unatulia Wala hupeperuki
Hakuna wa peke yako now a days sana sana kiama kitakukuta kama unamngojea wako mwenyewe
Ingekua n Mimi ningeomba aolewe nijue tuko wawili asizini Kwa kujificha afanye heri kabisa
Katika maisha ya ndoa uzoefu ni muhimu katika kutoa ushauri. Katika mjadala huu unaweza kuhisi ni nani ameoa/kuolewa na ni nani ana ndoa changa (less than 10 years) au ni nani gwiji. Endelea na ushawishi wako ila hiyo ndoa inafika ukingoni. Kuwa na plan B kuhusu maisha ya hao watoto baada ya talaka. Ila akitoa talaka kaka yako ajiandae kwa machungu ya huyo mama na mama yake. Msumari wa moto atakuwa ameubeba. Nasema hivi ni bora mwanamke akakuchoka mwanaume, kwani kama bado anakupenda (kama huyo wifi yako bado anampenda kaka yako ila anatikisa kiberiti), ukimwacha cha moto utakachokipata unaweza hata jiua.Kama shangazi wa wale watoto lov na amekuja kunielezea niwajibu wangu kumsaidia japo kwa mawazo
huenda ana hasira na kama unavyojua kila binadamu na upeo wake wakufikiri na kuamua anapokua na tatizo...
Kumbe una Terms and Conditions shosti ebu zipunguze ukipata 65% chukua zilobakia utaweka sawa mwenyewe..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa Dunia ya Sasa sihitaji bora mume
Kwahiyo kama sina amani ya moyo hao watoto nitawaleaje?Nifah watch your fingers! Watoto hawakutaka uwalete duniani, ni raha zako na huyo 'uliyekuwa' unampenda. Hivyo ni wajibu wako kuwafikiria kwanza baadala ya kujifikiria mwenyewe.
Mmmmmh Lakini mbona yule mume wa kwanza alimuacha kwa kashfa na jeuri na hakumfanya kitu na alikua anampendaKatika maisha ya ndoa uzoefu ni muhimu katika kutoa ushauri. Katika mjadala huu unaweza kuhisi ni nani ameoa/kuolewa na ni nani ana ndoa changa (less than 10 years) au ni nani gwiji. Endelea na ushawishi wako ila hiyo ndoa inafika ukingoni. Kuwa na plan B kuhusu maisha ya hao watoto baada ya talaka. Ila akitoa talaka kaka yako ajiandae kwa machungu ya huyo mama na mama yake. Msumari wa moto atakuwa ameubeba. Nasema hivi ni bora mwanamke akakuchoka mwanaume, kwani kama bado anakupenda (kama huyo wifi yako bado anampenda kaka yako ila anatikisa kiberiti), ukimwacha cha moto utakachokipata unaweza hata jiua.
Wifi yako n kilaza wa mwendokasiNimemwambia wewe umekhusu nini kwenda mpaka ukamjua huyo mtoto na kujitia tafran?madhali hajakwambia
basi sio kweli au subiri akwambie,biashara hataki,yeye apewe hela aende likizo na watoto kwa mwaka mara2
apambe nyumba harusini sijui kidumbak vitu vya ajabu ajabu tuuu,lakini pia sawa tulia basi na mdomo juu
najitahidi nikishindwa basi shosti...
Mkuu siwaamulie ila yule mwanamke nilazima umpe mwenzio ushauri japo kidogo ikiwa anakosea,mwishi wa siku ni choice yao wawili..Waache waamue wenyewe.. (Yani jiweke pembeni).
Lasivyo utabeba lawama zisizo zako
Hapendi Shidaaaaaaaaaaaa..lolWifi yako n kilaza wa mwendokasi
Mama Wala tena nafaham haswa hatujakamilika najua siwezi kumpata mwenye zote lazima afemee kidogoKumbe una Terms and Conditions shosti ebu zipunguze ukipata 65% chukua zilobakia utaweka sawa mwenyewe..
Stress unajipa mwenyewe, wenzetu wanasema samehe saba mara sabini nadhani wapo sahihi. Vitu vingine ni kuvidharau tu. Angalia yeye kaolewa na watoto wawili, wewe huoni huo ni msalaba kwa huyo mwanaume? Ayasemayo wifi yake NIMPENDENANI si lazima kuyakubali asilimia zote hasa madhaifu ya wifi yake. Kila siku nasema lazima uweke mizani faida na hasara za kuachana.Kwahiyo kama sina amani ya moyo hao watoto nitawaleaje?
Niendelee kuvumilia mwisho nife kwa stress wabaki yatima?
Mwambie Shida tumeumbiwa bin Adam hajaumbiwa mnyamaHapendi Shidaaaaaaaaaaaa..lol
Ndipo napojiuliza angeoa tu coz it seems like uwezo anaoWanawake wa siku hizi akiamua lake anakuwa na msimamo liwalo na liwe tu..yupo tayari hata kulia machozi mbele ya kikao cha wazee/baraza na hata kuongeza chumvi ya maneno zaidi hata kuongea na ya uongo au kukumbushia matatizo ya miaka mingi nyuma ilimradi tu lengo lake litimie.
**Mtu anapokuwa na hasira/huzuni akili yake inakuwa haiko sawa kwa muda.
USHAURI: mwambie bro wako aongeze muda ktk safari yake sababu kichwa cha wife wake kitapoa kadiri siku zinavyokwenda.
HUKUMU HALALI: kwa sheria ya kiislam kaka yako alipaswa kupigwa mawe mpaka kufa sababu ni mwanandoa na ameenda kuzaa nje ya ndoa.
=> Japo kuwa kaka yako ana pesa za kuwalea watoto na kujiendesha maisha yake, kitendo alichokifanya kwa mkewe si cha uungwana, hata kama mke akiondoka na kuteseka.
=>Mume(kaka) yako anapaswa kufuata taratibu zote za kijamii/kikabila/kidini kumuomba radhi mkewe na sio kusema "talaka atatoa aseme jengine"
Salama yake huyo jamaa ilikuwa ni pale alipompata kaka yako na akawa nazo au anachokipata hakikosi. Nadhani kimapato kaka yako anamzidi yule wa kwanza, ukiwa ni hayawani kama mimi, au akose alichokuwa anapata, msumari wa moto upo pale pale.Mmmmmh Lakini mbona yule mume wa kwanza alimuacha kwa kashfa na jeuri na hakumfanya kitu na alikua anampenda
kupita maelezo? au niseme ivi kama rizki imeisha sawa lakini kumsaidia nikiwa kama mwanamke au mama ni wajibu wangu lakini kama imeshindikana basi...
Inshallah roho yake itulie arudi kwake..Salama yake huyo jamaa ilikuwa ni pale alipompata kaka yako na akawa nazo au anachokipata hakikosi. Nadhani kimapato kaka yako anamzidi yule wa kwanza, ukiwa ni hayawani kama mimi, au akose alichokuwa anapata, msumari wa moto upo pale pale.