Mwanamke jifunze uvumilivu

Mwanamke jifunze uvumilivu

Katika maisha ya ndoa uzoefu ni muhimu katika kutoa ushauri. Katika mjadala huu unaweza kuhisi ni nani ameoa/kuolewa na ni nani ana ndoa changa (less than 10 years) au ni nani gwiji. Endelea na ushawishi wako ila hiyo ndoa inafika ukingoni. Kuwa na plan B kuhusu maisha ya hao watoto baada ya talaka. Ila akitoa talaka kaka yako ajiandae kwa machungu ya huyo mama na mama yake. Msumari wa moto atakuwa ameubeba. Nasema hivi ni bora mwanamke akakuchoka mwanaume, kwani kama bado anakupenda (kama huyo wifi yako bado anampenda kaka yako ila anatikisa kiberiti), ukimwacha cha moto utakachokipata unaweza hata jiua.


Hapo pa uzoefu napapenda!
Wifi yangu akitibuana na mumewe huwa anakimbilia kwangu na watoto wake.

Halafu anataka mimi nimpigie mume wake kuwasuluhisha. Naanzia wapi sina ndoa mimi.
Akazira eti 'watoto wenu hao hapo nimekuachia nikamwambia mimi sina muda watateseka tu hapa ila nitawapeleka kwa bimkubwa atawalea kama alivyotulea. Mimi na baba yao tutahudumia tusimchoshe mama.
Mbona alienda kunitangaza kwenye magroup yake huko eti nashabikia ndoa ya kakaake kuvunjika nimemnyang'anya na watoto.
Sijawahi kumuelewa alitaka nimshauri nini wakati ndoa yao wanaijua vizuri wenyewe.
Sasa na huyu wa watoto watano namuona walewale tu.
 
Badili Tabia Mkuu kila binadamu ana mapungufu yake hata wifi yangu ana mapungufu yake,ila akitaka watu waweke cards on the table wote watakua na makosa,yeye wakikosana kodogo nipe talaka yangu,au huyo mtoto aloona picha kwenye cm kulikua na ulazima gani kwenda kumtafuta mpaka amuone au aseme ndio mwanao japo mume anakata sio mwanae?
simtetei my bro niko upande wa wifi yangu sababu nimwanamke kama mimi na i know how it feels mumeo aki cheat inaumaje lakini anadhani kudai talaka ndio salution? akisha dai talaka what is next nyumba wanaoyo ishi na mamake ni ya bro,babake mzazi na mamake wameachana baba ameoa mke mwengine na hataki ujinga kawatimua zamani na ndio sababu ya yeye kuolewa ili aishi na mama yake kwenye ndoa yake ya mwanzo,bro amejenga nyumba ndio anayo kaa mama yake wifi sasa why a complicate things? sisemi ateseke kisa hatokua na pakuishi lakini hana hata hela ya kuanzia maisha namuonea huruma ila kama that's what she wants i will respect her decision ..


Vipi, talaka imeshatolewa?
Mruhusu aende mimi natamani kuingia hapo.
 
Back
Top Bottom