Mwanamke jifunze uvumilivu

Mwanamke jifunze uvumilivu

Hapo niko na wewe shosti,yeye ana gari nzuri na kila mwaka anabadilishiwa gari,watoto wana gari ya shule na driver wao
wazazi wake kila mwezi mahitaji yanapelekwa mpaka mwenyewe pesa ana chikichia,watoto wake wanasoma Feza school
shida ndogo ndogo hana mume alimwambia aseme anataka biasharagani kasema kusumbuliwa asubuhi hataki...
wifi yako ana mdudu kichwani anapiga pesa teke kiruuuuu
 
mie tatizo ni watoto watapata tabu na mama mwengine,hakuna kama mama duniani....
na huo ndiyo ukweli shuri yake .. mwambie amgeuze project huyo mume wake aweke mapenzi pembeni, kwani akija nyumbani nataka anigonge atakataa namtengenezea mazingizra tu.. any way swala la ndoa wengine tunaona ni project wengine wanaona mapenzi haya
 
Mkuu I can understand lakini how many times ataolewa nakuachika? Hakuna mzuri wa moja kwa moja
na sio kama namtetea my bro ila yeye akiwa kama mwanamke ajue mbinu za kumzuwia mumewe,talaka sio solution...
Lazima uvumilivu umefikia mwisho

Kuna watu hawataki tabu za mapenzi ukiwa unamuumiza kila siku ataondoka tu hata kama una hela kiasi gani
 
Uvumulivu huo unaotaka awe nao wifi yako ni wa aina gani?
Wifiyo kasema kachoka kuona message za wanawake katika simu ya mumewe,na kama haitoshi kaka yako kazaa nje kabisa.

Nimeshtuka kaka yako alipokubali kutoa talaka kirahisi.
Ni wazi amemchoka wifi yako ndio maana kashindwa hata kumficha mtoto wake wa nje.
Lengo lake lilikuwa hilo (mkewe aombe talaka) na limeshafanikiwa.
Wifi yako akiendelea kung'ang'ania hiyo ndoa atateseka sana.

Hivi kusomeshewa watoto ni nini?Ndoa maana yake ni makhaba yaliyokomaa yaliyopelekea ndoa.
Kama makhaba hakuna tena ndoa ya nini?
Jamani wanawake tuachane na hii kasumba ya kunga'ang'ania mateso kwa kigezo cha "kulea watoto, watoto watateseka"
Kama hakuna mapenzi tena katika ndoa hakuna cha zaidi ya kuachana.

Ni kweli, lazima apate tabu ya kuishi bila mume na watoto bila ya baba lakini amani ya moyo ni zaidi ya yote,mwisho wa siku maisha lazima yaendelee.
Period
Nifah i can undestand your point of view lakini hiyo mateso anayoteswa yeye ni yepi? kwanza kilimtuma nini kufungua cm ya mumewe na kupekura? mume hakumwambia kama ana mtoto nje yeye ndio kaenda kuyatafuta na mamake mpaka wakayajua na pia sio sababau he is my bro ndio namtetea lakini na yeye pia wifi yangu ana mapungufu yake as a human
mfano Nifah Being mama mwenye nyumba au mke kweli mumeo anaamka na watoto kwenda kazini wewe umelala?
sio kama una umwa mzima,wewe zako ni Harusi sijui maulidi mara kwenye kufunda mwari upeleke sanduku mda na mume
hunaaaaa yote sawa ameyakubali tulia basi ulee wanao unataka Talaka sijui kama amefikiria sana ila kwangu sitopenda itoke hata kidogo...
 
Lazima uvumilivu umefikia mwisho

Kuna watu hawataki tabu za mapenzi ukiwa unamuumiza kila siku ataondoka tu hata kama una hela kiasi gani
Akiondoka ntakua sina jinsi lakini ntajitahidi na mbaya zaidi Mama yake ndio anamwambia ondoka hapo ndio tatizo..
 
na huo ndiyo ukweli shuri yake .. mwambie amgeuze project huyo mume wake aweke mapenzi pembeni, kwani akija nyumbani nataka anigonge atakataa namtengenezea mazingizra tu.. any way swala la ndoa wengine tunaona ni project wengine wanaona mapenzi haya
Halafu uzuri ni kwamba mwanamke mkubwa angetumia uzoefu wake angetulia tuu...
 
Lazima uvumilivu umefikia mwisho

Kuna watu hawataki tabu za mapenzi ukiwa unamuumiza kila siku ataondoka tu hata kama una hela kiasi gani
If only unakua unaachika Na huna watoto

Au maybe ana kabiashara kanakomtia jeuri ya kulea watoto

Kama ningekua mm ningesimamia mstakabali wa wanangu wapate good education ma mahitaji mengine Na kama baba anatimiza mahitaji unatulia Wala hupeperuki

Hakuna wa peke yako now a days sana sana kiama kitakukuta kama unamngojea wako mwenyewe

Ingekua n Mimi ningeomba aolewe nijue tuko wawili asizini Kwa kujificha afanye heri kabisa
 
Hata kuachana pia inaweza kuwa na faida kwa watoto zaidi ya kuendelea kuwa pamoja. Unadhani nyumba isiyo na furaha wala uaminifu ni salama kwa watoto?
Mkuu sio salama lakini watu kugombana ni kawaida na wifi yangu hua akikasirika kidogo tuu niache,kuna siku driver wakupeleka watoto shule alikua anaumwa,sasa bro alikua safarini yeye yupo nyumbani hakupeleka watoto school siku4
mpaka driver amepona alipoja bro anamwambia kwanini usiwapeleke watoto shule? kasema nilikua na usingizi bro akamgombeza basi kafungasha nguo zake anamwambia talaka yangu nilete kwetu,sasa simuelewi mie huyu mwanamke
lakini inabidi tumchukulie nikamwambia bro nenda kamrudishe kwa ajili ya watoto...
 
hizi ndoa mbona hazina jema kila siku ni haya haya na bado wengine tunafikiria kuoa kwelii. hapa nishajiandaa kisaikolojia maana lolote linaweza kutokea
 
you have played your part..Mwisho wa siku yeye ndio mwenye maamuzi ya maisha yake.....Usijaribu ''kuuvaa'' uhusika wake sana..Amani ya moyo wake anajua wapi anaipata...

Fact
 
Mwanamke kudai talaka kidini n kosa kubwa sana

Kama ameolewa Na wanawe Toka Kwa baba mwingine Na wanapewa mahtaji kama watoto wake si atulie

Umbea umemponza shost ama kweli ukipekenyua lisilokuhusu utakumbana Na lilanolokukera
Halafu kama mwanamme haja kwambia kama ana mtoto nje na mahitaji yako unapata una mtafutia nini huyo mwanamke
ili iweje? na mama wengine nao mwenyezi mungu atunusuru sio anamwambia mwanawe ondoka isiwe tabu...
 
Back
Top Bottom