Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,371
My dear,hakuna mateso makubwa kama yale ya moyo.Nifah i can undestand your point of view lakini hiyo mateso anayoteswa yeye ni yepi? kwanza kilimtuma nini kufungua cm ya mumewe na kupekura? mume hakumwambia kama ana mtoto nje yeye ndio kaenda kuyatafuta na mamake mpaka wakayajua na pia sio sababau he is my bro ndio namtetea lakini na yeye pia wifi yangu ana mapungufu yake as a human
mfano Nifah Being mama mwenye nyumba au mke kweli mumeo anaamka na watoto kwenda kazini wewe umelala?
sio kama una umwa mzima,wewe zako ni Harusi sijui maulidi mara kwenye kufunda mwari upeleke sanduku mda na mume
hunaaaaa yote sawa ameyakubali tulia basi ulee wanao unataka Talaka sijui kama amefikiria sana ila kwangu sitopenda itoke hata kidogo...
Huyo ni mtu mzima, mama wa watoto watano anajua nini anafanya.
Nafikiri busara ni kukaa pembeni... Waachie ndoa yao.
Kama angetaka suluhu yapo mabaraza ya usuluhishi na sio wewe.