Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,328
- 11,465
Mshahara wangu wa mwezi March umechelewa kutoka Mpaka tarehe hii. Nilihitaji kiasi cha Tsh 1.4m kwa ajili ya kufanyia jambo fulani
Najua mke wangu hawezi kosa hiyo pesa. Najua anatunzia chumbani ila tu sijui ni location ipi. Nimetafuta hadi nimechoka. Nikisema nimuazime, hawezi nipatia. Si mnajua tena pesa ya mwanamke? Nimepanga nimpigie tukio, halafu nimrejeshee tarehe 15
PIN za laini zake na kadi ya benki nazifahamu, hakuna hela humo. Huwa naona anaingia kwenye chumba changu kisha anatoka na burungutu.
Mwanamke hutunzia wapi pesa yake?
Najua mke wangu hawezi kosa hiyo pesa. Najua anatunzia chumbani ila tu sijui ni location ipi. Nimetafuta hadi nimechoka. Nikisema nimuazime, hawezi nipatia. Si mnajua tena pesa ya mwanamke? Nimepanga nimpigie tukio, halafu nimrejeshee tarehe 15
PIN za laini zake na kadi ya benki nazifahamu, hakuna hela humo. Huwa naona anaingia kwenye chumba changu kisha anatoka na burungutu.
Mwanamke hutunzia wapi pesa yake?
Si unajua tena..