Unataka nithibitisha pasipo wingu la mashaka ama?
dah wa kwetu mimi haijalisha alikuwa mtaalamu kiasi gani......tukifunga ukurasa tumefunga, even his name has nothing to do with me and he goes to hell!!
Punguza UKALI Mum! Loooh!
ewaaaaaaaaa!!! haya fanya basi
Nathibithisha ya kwamba nimewahi kumbikiri msichana ana ananikumbuka mpaka leo!
Hivi ni kweli kuwa mwanamke hawezi kumsahau mwanamume aliyemleta katika dunia ya mapenzi (kumbikiri) hata kama mwanamke huyo atakuja kuolewa na mwanamume mwingine hapo baadaye?
Nina maswali 2 mh, A na BEahsante sana kwa majibu mazuri muhishimiwa m'bunge!.....
eeeh MUHISHIMIWA CHARITY SWALI LA NYONGEZA
Hivi unajua kwamba si wanaume wote wamewahi kupata bahati ya kubikiri msichana? Ndio maana nina uhakika kabisa, yule niliyebahatika kumbikiri ananikumbuka mpaka leo na nina ushahidi wa hilo....(sio wa kukumbushia lakini)!
Swali lingine?
Bikra zetu zikoje? zikitoka huwa inatokea nini?Nina maswali 2 mh, A na BE
Kama siku hizi kuna teknolojia zakutengeneza Bikra hapa ndani ya nchi(Wazaramo) na nje ya nchi(wachina),Je huoni kuwa kubikiri msichana sio bahati tena?
Na nyie wanaume kwa nini huwa mnaona kuwa nyie mnastahili kupoteza bikra zenu za asli na kuona ni kitu cha kawaida?
bado hujathibitisha bila mashaka yoyote.....kwanza pale uliweka ka-disclaimer kiaina eti si kwa KUKUMBUSHIA.......
lieleze hili jamvi ni vipi una uhakika kuwa bado anakukumbuka kwa hilo 'jema' (au ni baya??) ulomtenda??
Nina maswali 2 mh, A na BE
Kama siku hizi kuna teknolojia zakutengeneza Bikra hapa ndani ya nchi(Wazaramo) na nje ya nchi(wachina),Je huoni kuwa kubikiri msichana sio bahati tena?
Na nyie wanaume kwa nini huwa mnaona kuwa nyie mnastahili kupoteza bikra zenu za asli na kuona ni kitu cha kawaida?
Mi sijawahi kumtoa mtu bikira, i mean msichana!!
kumbe huwa wanakumbukaga eeh! ngoja nitafute katoto ka darasa la saba au mnasemaje??!!
Nasikia vya fom two unakuta tayari used hata kutumia kama spear hazifai tena!
Mi nitajuaje kama huyo binti yangu hawajamfanyia tayari sasa!!Tafadhali sana usiharibu watoto wa watu kwa ajili ya ''fantasy'' zako. Fikiria kama akifanyiwa binti yako hivyo utajisikiaje!
mimi mwanamke yeyote mpya kwangu ni kama nimemvunja/toa bikira tu!!Kwa kifupi ni kwamba bado tunawasiliana kwa simu japokuwa ameshaolewa! Je huo sio uthibitisho tosha?
Una swali la nyongeza ndugu mbunge wa viti maalum toka Tandahimba?
Mama Brian inaonekana jamaa walikata utepe ukiwa bado mtoto sana[/QUOTE]
Hapana Da Womenizer,tena huwezi amini kwa upande wangu nilichelewa sana haya mambo, nilikuwa serious sana na kitabu na nilikuwaga naogopa sana kupata mimba kabla ya kutimiza malengo yangu.utotoni yalikuwa mambo ya kutumiana vikadi kadi tu lakini si kuingia deep kiasi hicho, nilikuwa muoga sana! teh teh!
Hizo za kubumba ni za siku hizi, sisi tunazungumzia zile ORIGINAL......!!
Kwa kifupi ni kwamba bado tunawasiliana kwa simu japokuwa ameshaolewa! Je huo sio uthibitisho tosha?
Una swali la nyongeza ndugu mbunge wa viti maalum toka Tandahimba?
Umeoa? Ulimbikiri uleyemuoa? Mh Masaki