Hasa kama alibikiriwa kwa kubakwa!
Haswaaa kama ulibakwa utamkumbuka kwa kitendo hicho cha kubakwa, otherwise mie sioni kama ni kitu cha maana wala chenyhe msingi kumkumbuka eti tu kwa kuwa alikubikiri, cha msingi labda umkumbuke yule mpenzi wako aliyekukoleza kisanaaa.
Kwa upande wa mapenzi hapa ndo hata ukiwa umeolewa lazima utamkumbuka aliyekuwa akikutosheleza kimapenzi pangine kuliko huyo mume aliyekuoa! na ukipata nafasi unamrudia mnakumbushia kidogo then ndoa inaendelea heheheee:smiling::dance: